niaje wadau, naomba msaada kama kuna chuo cha kilimo iringa, nimepigiwa simu eti nimechaguliwa kusoma hapo certificate, lakini nimecheck kwenye net jina langu si miongoni, mwa majina yalotangazwa na wizara, vyuo vyote vya kilimo majina yametangazwa na wizara?
duuh, yaani nyama tu watu tunauana, tunapokwenda sipo, kama nyama imechinjwa na mkristu na inaliwa na mkiristu shida ipo wapi? nyama ya ibada haifai kuliwa na asiyefanya ibada iyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.