hapo ndiyo panaopo nikera kwa siasa Za Tanzania, kwani wananchi wote wanakuwa wamepigia upinzani? hawafikirii Kuwa wanawanyima Haki Wengi zaidi ccm waliopiga kura ambazo hazikutosha n.a. za wale ambao hawakupiga kura kwa sababu moja au nyingine?
Mimi nina swali.
Je shule hii imeadhirika na tetemeko?
Kama jibu ni ndiyo basi kwa maoni yangu wametaifisha ili serikali ikijenga watu wasilalamike mbona wanajenga miundombinu ya shule binafsi za ccm?
Mimi nimefikiria mbali zaidi, Raisi ameamua kuweka vijana wapya ili isimpe tabu kuwatumbua watatakapo haribu. Wazee inaamuwia ngumu sana kuwatumbua kwani wako kwenye mfumo siku nyingi na wana network kubwa, jipu moja lina vigogo zaidi ya kumi nyuma yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.