Daaa mkuu mungu akutunze nakukupa kibali zaidi na zaidi utasema tupo njia moja kwa uliyosema .....cha umuhimu ni uvumilivu na kuutafuta uso wa bwana..MUNGU NA AKUBARIKI🙏
Sasahivi nndo nazidi kukuelewa maankipindi cha mwanzo kabla sijakombolewa na damu ya Yesu nilikuwa nikiona unatoa mabandiko kuhusu ndugu zetu waislamu nilikuwa naona kama unapotoka hivi ....
lakini ndugu ....acha mungu aitwe mungu nakuunga mkono moja kwamoja ndugu zetu hawa wamkiri tu kuwa Yesu...
Huwezi amini chanzo cha uzi wako nndo umenifanya mpaka leo nimekuwa kiimani san kama utakumbuka Damu upande wa nuru nikaanza kuona vitu vya ulimwengu mpaka leo sijarudi nyuma ukiweka na mabandiko ya Mr 7 seven nndo kabisaa mi ni mtu mwingine kabisa... Mbarikiwe sana 🙏🙏🙏🙏
Una mungu anakulinda ambaye anaharibu mambo yake sasa ukijichanganya kwenda kwa mganga nndo umejikamatisha na utaharibikiwa ambayo hujawahi ona
( Naongea kwa uzoefu niliopitia kama wako mwisho wa siku alishndwa kuvumilia akaropoka naharibu mambo yake SALI SANA/DUA)
Hivi mtumishi huwa ni vitu gani ama hisia zipi kwa maana ya mabadiliko ya kimwili mtu unayapata wakati unasali na kujua hapa nipo ndani ya roho mtakatifu ama kuna uwepo wa mungu..?
Imefanana na kisa cha rafiki yangu na yeye juzi kanifuata kuomba ushauri kuwa mwanamke wake na yeye kisa kaona tu sms ya mwanamke anayomwomba picha akawa mbogo na wanataka waachane.
Nikamuuliza kisa ni hicho tu ama kuna mengine nndo akaanza kunielezea kuwa huyo mke wake wana mtoto mmoja ikiwa...
Nipo sana mtumishi sema notification haziji kama zamani na kila nikikutanaga na mafundisho yako sitokagi bure huwa yananibariki mno na kiukweli mmenitoa mbali sana kiimani kupitia uzi huu mbarikiwe sana na mzidi kupata kibali zaidi na zaidi 🙏🙏🙏🙏
"";Usipomtafuta Mungu na kuacha kumjua naye anakuacha hivyo hivyo. Siyo kila shida na dhiki yatoka kwa shetani nyingine ni kufichwa macho ya rohoni usipate kujua baraka zako ziko wapi ili uishi katika adhabu ya umasikini na ufukara. ...""";
Nimeelewa sana huu mstari ubarikiwe sana mwana wa...
Mkuu karibu sana naona umekuja kivingine huwa nakuelewa sana uwezo wako kimaarifa na kwa wanaozingatia matokeo yanajitokeza wazi wazi mimi nikiwa mmoja wamashuhuda kwenye lile andiko la Damu katika ulimwengu wa nuru...tupo pamoja[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.