Nadhani yupo kwny campaign mana matatizo uliyo yaainisha hapo ndo yamepelekea magufuri awe tofauti na mtazamo wako,anataka kuyashughulikia bila uoga,kumbuka wakwepa kodi wapo mahakamani na tra imezibitisha ukwepaji kodi wao ni zaidi ya trioni moja,na mahakama ndo mlango wao wa kusepa na historia...
Nadhani yupo kwny campaign mana matatizo uliyo yaainisha hapo ndo yamepelekea magufuri awe tofauti na mtazamo wako,anataka kuyashughulikia bila uoga,kumbuka wakwepa kodi wapo mahakamani na tra imezibitisha ukwepaji kodi wao ni zaidi ya trioni moja,na mahakama ndo mlango wao wa kusepa na historia...
Ilikuwa ni wajibu wa chama kuhakikisha kampeni zinafanyika iwe isiwe lazima chama kiwe na pesa kuhakikisha mgombea wake anaendesha kampeni nchi nzima,kumbuka chama ni taasisi kubwa sana inazo biashara zake pamoja na ruzuku kitita kuhakikisha chama na mgombe wake wanashinda,hivyo ni kazi ya...
Mnaumwa,kinachowasumbua ninyi ni ile immigration ya wasukuma kutoka usukumani miaka ya hamsini,sitini,na sabini ktk maeneo ya sengerema,geita,biharamulo hadi kahama miaka hiyo na sasa wame tapakaa kote huko utadhani yalikuwa maeneo yao ya asili.
Mtoa mada tra sio dagaa ,nchi haiwezi kufanikisha jambo lolote la maendeleo kama ina mamlaka ya mapato corrupt, iwe marekani au afrika hawa ni muhimu sana katika ukuaji wa uchumi wowote,bila nidhamu ya tra hatuwezi fika popote,hivyo bac hawa si dagaa,ni nyangumi,uzembe wao unaligharimu taifa...
Napata shaka na uelewa wako,huwezi kupiga hatua kama nchi kama mamlaka ya mapato ya nchi ni corrupt, iwe marekani au afrika,hivyo ipo haja kushughulika na t.r.a kwanza kabla ya kuwatafuta washawishi wao,bila tra kurubunika upotevu usingekuwepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.