Mind u, small minds discuss about people, great minds discuss issues. Sasa wewe wenzako wanadiscuss mambo ya maana wewe unatuletea mambo ya nani kajamba! Hapa hapakufai tafute kitchen party uende huko.
Kuna mahali unaweza kuamua kufanya suluhu na mahali hiyo suluhu haiwezekani bali kuchukua hatua sahihi. Kilichofanyika kwa aklna Zito ni sahihi. Ndumila kuwili unaweza kufanya naye suluhisho? Ukigeuka kakunasa!
Na hawa CCM wanaoleta domo lao hapa hapahusu. Malengo yao ya kumtumia...
Yeye kuvaa vazi hilo kuna uhusiano gani na wabunge wa Chadema? Hata hivyo yeye anajulikana kwa kujipendekeza na hapa yuko kwenye harakati za kujipendekeza. Simamia nafsi yako ikutumavyo na siyo nafsi za wengine!
You can only use title 'Engineer' upon being registered by the Engineers Registration Board after successfully meeting laid down procedures among them, your level of engineering qualifications, experience after graduation, passing board exams, report submitted showing experience and whether it...
Ukiwa na akili timamu ukishika mkaa wa moto ukaonja joto lake nafikiri hutarudia tena kulishika. Chadema walishalishika kwa hiyo si wajinga wakalishika tena! Nafikiri wana karata ambayo wameishika kwa kupitia huyu aliyehama kambi ili baadaye waitumie kufunga goli la kisigino. We just wait and...
:crazy: Yah man! They come cheap nowadays! We have just have to ask him(her) how much has been paid to him to spread those nonstarter smear campaigns in this area. Hapa humpati mtu! Wote wamekiona kitabu na wanajua kuliko wewe. Nenda Arumeru kajaribu kama utasikilizwa na kama utarudi in one...
Mimi sikubaliani na statement kuwa uchumi wa dunia umedorora kwa hiyo hata sisi hali mbaya tuliyonayo ni katika mwingiliano uliopo! Ni tegemeo langu kungekuwa na management nzuri ya resource tulizonazo tungekuwa tunaandika nne! Tatizo ni mismanagement iliyopo kutoka juu mpaka chini-corruption...
Tatizo la Z.K ni kiherhere kama alivyosema mwenzetu. Hebu fuatilia mambo yake huko nyuma utaona ni kweli. Kwanza anapenda publicity, pili awe juu ya yote. Check alikomfikisha Kafulila. Haachi hapo, pia ni mpenda madaraka. To me he is not a good material in politics.
Wewe hujawajulia? Kwenye kujadili mambo yanayowafagillia CCM na serikali ndiyo wanaonyesha kwa mbwembwe. Ikitokea mjadala unaiwajibisha serikali hasa kutoka kwa upinzani wanafunika kwa kuweka hayo matangazo na kama hilo la vazi la taifa ambalo kwetu sisi Watanzania siyo wakati wake kuna mambo...
Vipi mauji yaliyofanyika wakati wa uchaguzi uliopita? Hao walikuwa kuku siyo binadamu? Wanachotendewa wananchi na wawekezaji walioletwa na huyo huyo Membe na wengine kuuwawa kama huko Mara ameona sawa? Asome alama za nyakati - wote waliokuwa wanawanyasa raia wao wameishia pabaya. Time will...
JK katoa mpia juzi kuwa Tanzania kamwe haiwezi kuendelea bila wawekezaji! Tunatakiwa tukumbuke Baba wa Taifa letu alivyokuwa anatukumbusha mara mara kuwa raslimali zetu heri zibaki ardhini mpaka watoto wetu watakapokuwa na uwezo wa kuvuna wenyewe. Alijuwa fika ukiwaruhusu hao wanaoitwa...
Tatizo la viongozi wetu ni kulewa madaraka. Wao wanafikiria wako juu ya chochote kwa hiyo hakuna wa kuwasemea! Bungeni kwa sababu wameout number wapinzani watafanya lolote. Ndiyo maana safari kama hizo zinafanyika kwa hela za walalahoi bila soni! Kuna mchungaji mmoja alikuwa anawaambia wajifunze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.