mm naishi na mama mzaz na wadogo zangu pia watoto kwa cku kazaa maza amekua na tabia ya kuzira kula na kutokuongea na mtu yoyote nikumuliza hasemi nn tatuzo akienda kwa watu anasimulia habari ya nyumbn zote nashindwa nifanyeje naombeni busara zenu jamani
Jamani mbona tunasahau? hii sirikar ya chichiem ndo iliyo kua ikitenge feza nyiingi ya mgambo ili wapambne na wamachnga na waendesha pkpk na guta na matorori chadema ikasema hawa haw ndo watu wetu ikawajengea hali y kujiamin na elim y uraia wakawa wamoja eti baadae leo ccm wanaona tena ni muhim...
Naomba ushauri jamani naishi na mama yngu mzazi na wadogo zangu pia wanangu sasa maza kila cku anazira kula mara anashinda haongei na mtu nikimuliza hasemi je nifanyeje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.