Recent content by NIBONISYE

  1. N

    Yanayojiri jijini Dar es salaam Pasaka na mvua

    Labda beni pub kona ya tawi la yanga hpo angalau pko vizuri kwingine ni ushubwada
  2. N

    Yanayojiri jijini Dar es salaam Pasaka na mvua

    Kweli ausee kinara hali shwali kbsa npo zangu perfect pub hpa nakamua biere kwa kwenda mbele wake sinza kwa wajanja hali zao ni tete kweli kweli size wamepanga matofali wanaruka viunzi tu
  3. N

    Kutumbuliwa kwa Lugola: Askari Polisi waandika waraka, washukuru kuondolewa wizarani kwani aliwadharau na kuwabeza hadharani

    Hawa nabii issa alishasema ili waipate pepo kwanza watisheje na mishagara yao hvi Kuna polisi atakayeiona pepo ni hpna wayafanyayo ni kma laana waliachiwa kangi Kuna maeneo alikuwa anafanya poa sana ila kujipendekeza alizidi acha akapalulane na musiba mwibara
  4. N

    Rais Magufuli, ukiwa unatoka Chato pitia Hospitali ya Mlonganzila iliyobatizwa Vingunguti

    Aisee hta mm ni muhanga wa hpo mloganzila hyo hosptali watu wanasema ni sehemu ya majaribio kwa hao madkatali mm nilipata ajari ya gari nikapelekwa hpo yaani hawajari kbsa ikabidi niombe rufaa niende muhimbili wale masharo baro ndio wamejaa ple
  5. N

    Kenya yapewa msaada wa chakula na USA

    Wee jamaa una majibu 🤣🤣🤣🤣
  6. N

    Uzi wa kupeana connection za pamba kali

    Nenda gsm Moll pugu road utajuta ila mkasi nguo zake lkn ni nzuri sana
  7. N

    Mo (copy cat) ashindwa kesi ya kuiga sabuni ya Wachina

    Povu la nn akwende anaiga sana atafute watu wenye vipaji vyao hawalipe vzri naona mbumbumbu roho zinawauma😀😀😀😀
  8. N

    Mo (copy cat) ashindwa kesi ya kuiga sabuni ya Wachina

    Anapenda ganda la ndizi BIDHAA zake zte za vinywaji kakopy kwa azam mamaee ndio maana wale jamaa walimnyandua walivyomteka
  9. N

    Mo (copy cat) ashindwa kesi ya kuiga sabuni ya Wachina

    Mpuuzi sana hyu muhindi bingwa wa kuigaiga ameshindwa kuajiri wabunifu kaxi ya kuajiri mapopoma ili atajirike zsidi kupitia wenzie hovyo ili jamaa la mikia😀😀😀
  10. N

    Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

    Hyo ndugai mpk leo hapo kongwa pa hovyo k Hzo barabara za lami kuzunguka kote hko kipindi ccm wapo hpo zilikuwepo vitu vingi sana kafanya ww ulitaka maendeleo gani labda
  11. N

    Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

    Hovyo sana hyo mjinga anajifanya mbeya anaijua sana betina ndio nani yaani kutoa hivyo vimisaada ndio apate ubunge labda sio mbeya ninayoifahamu mm
  12. N

    Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

    Mbeya miaka ytee uko walikuwa wanaongoza ccm maendeleo gani yaliyofanyika kna sio sugu aliyeisukuma mpk angalau leo inatizamika usijifanye unaijua sana mbeya kiazi ww
  13. N

    Story: Ulitenda mema na kulipwa mabaya please share

    Mkuu hyo ofisi ipo maeneo gani kigamboni uniachie mm kwa maelewano maana nilikuwa nawaza kufungua ofisi fani yangu hyo mm
Back
Top Bottom