cheaters will always be cheaters,do no marry someone who divorced because of accusation of cheating..he/she will never changed..you will end up in pain..
Mheshimiwa Ndito (Duh...we mmasai au?)
Kuoa inaweza kuwa heshima kama ndoa itakuwa ndoa ya kweli kwa maana yake halisi.....kuheshimiana, kuaminiana, kuvumiliana,kupendana, kuridhishana et el.
Lakini ndoa itakuwaje na heshima kama:
Baba anamtwanga mama makonde mbele ya watoto?
Mama anamegwa na...
daa halafu wanaume ni wabinafsi sana jamani loh.yaani wao wana urafiki na ma x zaidi ya hata 5 wewe amemkukuta tu umetumiana msg kwenye face book au ni rafiki yako inakua balaa ukija kuchunguza yeye,unakuta hata email ni za mapenzi au inbox ya face book yaani wewe ulikukua rafiki akaumia...
mimi nakubaliana na wewe aspirin..very strong message usioe kubahatisha mtoto,mtoto ni majaaliwa unayopewa na mwenyenzi mungu,unaweza ukapewa na asiwe na heri na wewe,unaweza ukawa na mke na hao watoto ulizaa na mama mwingine na ukawa mwenye furaha,lakini kuoa unajua ina heshima yake...
nilikua sijamalizia..mpenzi wako unamkubali kama alivyo ila akikuudhi ndo unaanza kuyachukia mabaya yake haswa maumbile yake ingawaje huwezi badilisha looohh..
hujanielewa bana,,yaani mimi najua mpenzi wangu ana mwanya ila walikua wanamzungumzia mtu mwingine wanamkandia..huyo aliekua anakandia mwanya na yeye ndo kugeuka mupenzi anacheka akasema am sorry sikujua kumbe na wewee..
hapo umenena Mwanazuoni..mnyongeni haki yake mpeni....kuna mambo EL,kayafanya lakini watu hawayaoni wanaona mabaya yake tu ndo msemo unasema ukitenda mazuri watu wanayasau mabaya tu ndio wanayakumbuka..
mwanaume haipendezi akiwa na mwaya bana..urembo wa mwanya ni mwanamke..mpenzi wangu ana mwanya siku moja nipo na marafiki zangu wakaanza kusema aaa mwanaume mwenyewe ana mwanya kugeuka pembenei mpenzi wangu ana mwanya nikakasirika sana toka siku hiyo sipendi wanaume wenye mianya haipendezi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.