Recent content by ndeyanka909

  1. N

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Umenena mkuu ni ujinga kabisa bora watoe kabisa
  2. N

    Waziri Mkuu aagiza kufanyika Uchunguzi juu ya miili 7 iliyokutwa mto Ruvu

    Mkuu ukisha kuwa mtu mwenye dhamana na mamlaka kubwa hvyo hutakiwi kufanya vitu au kutoa matamko kwa kuhisi hisi... kilicho takiwa ni hiyo miili kufanyiwa uchunguzi wa kina ijulikane ni kina nani na kwanini wame uliwa.. Kama ni wahamiaji haramu inatakiwa ijulikane ni wanchi gani? Na walikuja...
  3. N

    Nimeokota vyeti vya shahada ya sheria vya Grace Damas Shao

    Inaonekana kasomea ruaha embu wacheki hapo chuoni kwa namba hizo wanaweza wakatoa msaada zaidi
  4. N

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Chukua hii kama itakufaa Tafuta sehem penye shida ya maji Nunua tank la lita 5000 moja ambalo utapata sio chini ya 600,000/= tafuta sehem nenda kalikite hapo eneo ambalo pana muingiliano wa watu na panachangamoto ya kupatikana maji... mtafute mtu wa boza la maji safi akuletee maji 5000lts hapo...
  5. N

    Whatsapp status za kijanja

    Muhudumu nipe lusekelo moja tafadhali...
  6. N

    Thuli Mandonsela atangazwa mshindi wa tuzo ya Forbes Africa Person of The Year (POY2016)

    Sio kweli mbona wabongo waliwashinda wa naija kwenye kura dhidi ya wizkid?? Wakati wa naijeria ni wengi kuliko wa tanzania
  7. N

    Thuli Mandonsela atangazwa mshindi wa tuzo ya Forbes Africa Person of The Year (POY2016)

    Vijana wa Lumumba ikodini team kibakuli Wakaporomoshe matusi kwenye account ya wakili Thuli mpaka tuzo irudi nyumbani.. Si ni JPM alikuwa anaongoza kwa kura..
  8. N

    (UFOS) na Aliens wa Zimbabwe! nini hasa Kilitokea?

    Mkuu kama inavyo semekana walikuwa na uwezo wa kupotea itajuaje kama walichukua sample ya baadhi ya vitu bila kuonekana.. Na huenda wamesha kuwa na teknolojia kubwa zaidi kiasi kwamba vyombo vyetu haviwezi kuwaona tena Hata kwa macho ya kawaida hatuweze kuwaona
  9. N

    Kitu gani ambacho baba yako amekufanyia hutakaa usahau?

    Aiseee sikujua kama kuna watu wanapendwa na baba zao kiasi hichi... Mimi baba yangu alituterekeza tukiwa tukiwa wadogo sana akaicha familia na kwenda mbali na sisi.. mateso tuliyopata hapo kijijini mungu ndio anajua Mama ndio alipambana kutusomesha kuanzia lakwanza mpaka chuo kwa taabu na shida...
  10. N

    Rais Magufuli amtembelea Mke wake na Wagonjwa wengine Waliolazwa Muhimbili

    Ha haaa unanipa mashaka kwani kuumwa ni lazima ulazwe?? Ukiacha swala la picha umeshawahi kusikia mama salma ana umwa mpaka kalazwa hosipital?? Kama aliwahi kuumwa mpaka kulazwa na kikwete akaenda kumsalimia hosipital bila kupigwa picha hapo utakuwa na hoja.. Ila kama hajawahi ww vuta shuka...
  11. N

    Rais Magufuli amtembelea Mke wake na Wagonjwa wengine Waliolazwa Muhimbili

    Kwani yeye ndio kasema apigwe picha mkuu!!! Kila tukio ambalo rais analifanya nje ya ikulu lazima libakizwe kwenye kumbukumbu Kunawatu ambao wameajiriwa kwaajili ya kazi hiyo Wacha wafanye kazi yao
  12. N

    Rais Magufuli amtembelea Mke wake na Wagonjwa wengine Waliolazwa Muhimbili

    Aende akakae hapo muhimbili kumuuguza mama sindio!! Alafu ww ndio utaongoza nchi ee!! ?? Au unadhani kuongoza nchi ni lelemama lelemama Mxuuuuuu!!!!
  13. N

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Mkuu njoo tu bet kwa muhindi.. tukitumia laki 3tu kati ya hiyo laki 5 unauhakika wa kupata milioni kumi.. unataka nini tena utajiri sindio huo
  14. N

    Ndugu zangu naombeni ushauri, ujauzito huu ni wa nani au nifanye nini?

    Hapa watu naona wana kashfu na kumlaumu jamaa badala ya kutoa ushauri kama mleta mada alivyoomba Ukiangalia kilamtua anangangania kuwa mtoto sio wa jamaa wakati sio kweli Kwa maelezo ya mkuu gody alolala na mke wake usiku wa tar. 29>30/8 pia akaja kulala nae tena tar 02/9 then kesho yake mkewe...
  15. N

    mtazamo tu, sijasema akina FA wamekosea

    Nimesimama kama ngogoti
Back
Top Bottom