Amani ya Bwana iwe nanyi
Naomba kuuliza, hivi haya makampuni ya SBL, TBL, TCC KONYAGI na mengineyo huwa wanaapply vipi kazi hata kama hawajatangaza nafasi? yeyote mwenye insight please.
uliza hela za kujenga UDOM zimetoka wapi.
Uliza hela za kujenga daraja la kigamboni zimetoka wapi and maby more.
Mizigo mingibe imesababishwa na JK tusimsingizie JPM
w
wewe nawe kiazi,
tutajie sharti moja ulilopewa ulipoenda kukata leseni ya biashara
Kwahiyo ukiwa unafanya biashara huruhusiwi kuwa na inventory?
Acheni kukurupuka,angalieni mmejikwaa wapi ili uzalishaji urudi kama kawaida.Mnataka kutuambia walioweka store cement ndiyo wanasababisha kupanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.