Ndugu,
Kama kuna anayefahamu dawa ya kuwa mrefu na kunenepa aniambie unafanyaje.
Kwani nakula vizuri na kufanya mazoezi mwaka wa 5 sasa sinenepi wala kurefuka, nipo pale pale.
Yele Uwiiii Najikoki Mapema Ukombozi Uooooo Unakuja Maccm Yana Haaa Mwambie Mhuza Ugali Bila Mboga Vijana Wa Bavicha 2po Kwenye Kazi Ya Ukomboz Akae Mbali
#Teamukombozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.