Maandamano pamoja na mkutano, "Uzinduzi Timu ya Ushindi Uchaguzi 2015".
Habari za maandamano haya na mkutano huu zilitangazwa siku moja tu (Ijumaa 20-02) baada ya polisi kuwekea mizengwe kutoa kibali.
"Ukweli hamna wakati wowote tunaojivunia kwamba sisi ni watanzania. uZanzibari upo moyoni kwetu, binafsi yangu najiona vibaaya sana kutumia passport ya Tanzania !! what a shame! OO Allah come the day where I'll hold my own passport bearing the name ZANZIBAR! najivunia uZanzbari wangu na...
"Shein sio chaguo letu hasa waZanzibari, ni Rais wa kuwekwa tu toka Tanganyika .. tumeishatoka imani nae zamani, ni taahira wa akili tu asiyeliona au kulijua hili. Muungano tuutakao sisi ni wa haki sawa na heshima kwa nchi ziloungana, sio huu wa mmoja kuvaa koti na kutufanya sie koloni lake...
Funua Kawa Mwana Halali Asimame!
Okt. 24/14
Na Salim Said Salim
Watu husema ukiyajuwa ya wenzako basi elewa wapo wanayoyajua yako kama au zaidi unavyojuwa mwenyewe.
Hali hii ya ulimwengu ndiyo iliopelekea Wahenga kusema: "Funika kombe mwanaharamu apite".
Lakini, zama hubadilika na ndio...
"kwa hiari au lazima? tatizo sisi waZanzibari hatupo tayari kuupoteza utaifa wetu ulioukuwepo na ambao tunaupigania sasa. kwetu sisi uZanzibari unakuja mwanzo kuliko uTanzania, (Tanzania = Tanganyika0. Najisikia kichefuchefu sana passport yangu imebeba jina la Tanzania ... japo mara nyingi kwa...
"nikiwa kama mZanzibari kindakindaki, tena bado kijana, SIKUBALIANI nawe kabisa kwa mawazo yako, kama atajaaliwa uhai na uzima (na in sha Allah tunamuombea) bado tunamuhitaji SANA! maalim, kipenzi cha roho yetu, aje atuwekee misingi madhubuti ya uongozi kisha ndio ajipumzikie, kwa hili hana...
"SIO KWELI! ...cuf walishajitoa zamani pamoja na ukawa... bila shaka hataki kuwa miongoni mwa wasaliti wa wananchi hasa wazanzibari ambao wengi wetu tunaona kinachoendelea dodoma ni mchezo tu wa kisanii"
"hivi umefikiria taifa la wananchi 1.5m waZanzibari wanataka nini? na tuseme ndio hujui nini kitatokezea? mamlaka yetu kamili ndio yatakayozaa Tanganyika/Tanzania (or whatever) PURE ambayo haijavaa koti"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.