Kama Serikali inaona kuna ugumu kwa wao kununua hisa Precision Air,basi Precision wanunue hisa katika ATCL tena wawe na majority shareholding.Sijui kigugumizi kiko kwa nani? Govt au precision?
Yaonekana unabip biashara huwezi pata mtu kwa njia hiyo.Wataka sisi ndio tukupe bei zetu?Fungua mawebsite ya wenzako ujifunze.wao wanakupa mpaka shipping estimates na options nyingi.ambazo zavutia,pia siku hizi kuna suala muhimu la security/guarantee ya pesa za mnunuzi.Atahakikishiwaje kuwa...
huo ni udaku mpaka ukachungulie uione chupi.sasa umetusaidia mawazo gani? haijengi.mwache dada wa watu akipatie upepo kijaluba.kwanza ilikuwa ni function ya usiku.
True Diamond ni moto wa kuotea mbali.
Ushauri wa bure kwa walio karibu yake wamwambie awekeze sasa hayo mafao kwenye assets ( fixed au hata kwenye mashares).Siju kama ana meneja wa kuangalia shughuli zake,mapato yake.ni vizuri akamwajiri atamsaidia sana.
Poor arabs.wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe.ndugu zetu hawa wanachezewa na watu wa magharibi bila kujijua.maneno matakatifu yaliwataka waishi maisha ya kiislaam.kwa sababu wameyakanusha,ndio yanawakuta,watapigana wenyewe kwa wenyewe,watauwana,wataendelea kuwatajirisha wamagharibi mpaka.
Kulipa ni lazima hiyo hamna mjadala,nadhani wote tunajua maana ya kuvunja mkataba.Tunachotakiwa kama nchi turudi kinyumenyume wale wote waliotuingiza kwenye kadhia hii tuthubutu kuwachukulia hatua za kinidhamu bila kujali hadhi ya mtu.Uchunguzi wa kina ufanywe mpaka kating zile zitajwe.
Kiufupi ndugu yangu hakuna suluhisho la tatizo lako.Hayo ni majaliwa yakoyakubali itumie shaft yako hivyo hivyo na utafurahia maisha.Kwani ndugu yangu utamu hauko mbali sana.ni wewe tu.unaweza kuwa na lirefu ukiingiza tu umemaliza.hamna kusugua sugua lakini ukawa kama na hiyo yako nusu saa...
kuna rafiki yangu alikuwa na uhusiano na mwanamke wa kichaga,alikuwa ananimabia anashangaa sana na matumizi ya neno yesu wangu,huyo binti hulitumia mara nyingi,ukimshika shika asema yesu wangu,akinogewa wakati wa tendo yesu yesu sijui wenzetu wanalionaje hilo jina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.