SCHOOL FEES: PRECIOUS SCHOOLS INAKOMOA WAZAZI
Kwanza ni pole kwa wale wote ambao kwa namno moja wamepoteza ndugu zao wapendwa kwa mlipuko wa ugonjwa wa Korona. Mwenyezi Mungu awape roho ya ustahimilifu kwa kuondokewa na wapendwa wetu.
Mada:
1. Baada ya Serikali kutangaza kurejea kwa shughuli...
Salamuni.....
Nimekuwa nafatilia sana michezo ya betting, na nikawa nimependelea kucheza na Bikosports. yaani, najuta hawa jamaa ni wasanii balaa. Leo kulivyo na mechi nyingi Ulaya katika nchi mbalimbali, Jamaa wa biko wameamua kuweka mechi chache tena kutoka katika baadhi ya Ligi. Ligi nyingi...
Kweli inafikirisha.... Ila mimi sidhani imani inatengenezwa na vitisho hivyo, bali hutoka ndani ya mtu. Ukishitaki ukafanikiwa utakuwa umesaidia wengi... hayo maneno si mema kabisa. Watumie ,mbadala ya kuleta matumaini na sio hofu.
Pole sana, nawazza tu hao watoto wako
Hypocrite!.... angesema haya wakati ule tU tukio limetokea, na hatua ambazo TEF ilichukua ningemuelewa. Lakini kuongea saivi wakati tumeona mkuu wa nchi ameamua kuingilia (kutatua???) tatizo na TEF kuwa submissive to RC ni upumbavu.
Kingine hajatoa maelezo kuwa kilichofanyika pale Clouds ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.