Sasa naombeni ushauri hapa. Nina dada yangu ameugua kwa miezi mitatu sasa. Mwili unadhoofu, unawasha na alitokwa na vidonda sehemu mbalimbali katika mwili. Baada ya kila kipimo kuonyesha haumwi kitu, baada ya kuhangaika ikagundulika anasumbuliwa na Autoimmune. Shida kubwa ikawa vidonda havifungi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.