Hapo umemaliza!
Muhammad Pbh alikuja na Quran
Issa wa Mariam alikuja na nijulishe
Mussa alikuja na Torat.
Waislam wanamfuata Muhammad
Wakristu wanamfuata Yesu
Je wajua/wafikiri Jews wao wako dedicated kwa nani?
Kukusaidia tu jibu ni kwamba ni Mtume MUSSA aliye wavusha Sham.
Wazungu kwa fix hutowaweza, swala la kufika mwezini ni uongo unaosadikika. Eti walivofika wakaweka bendela ikawa inapepea halafu pia walivokuwa kuwa wanafiki kwamba yule bwana Armstrong yeye mwenyewe alitanabaisha kusikia sauti ya Adhana. Watu wenye akili nyepesi waliamini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.