Nimependa sana huo mfano wako wa kiwandani cha ngozi. Yaani demand IPO, nguvu kazi IPO, raw material tunazo sasa inaelekea tunakwama kwenye mitaji maana umeme wa being rahisi ndio huo unashughulikiwa. Kilichobaki ni serikali kudhamini wawekezaji wa ndani kupata mitaji.
Hii sio kweli, gharama za kutunza shamba mbona hujaweka? Nijuavyo parachichi linahitaji mbolea at least Mara mbili kwa mwaka, madawa ya ukungu wadudu etc. Pia zao linaitaji kumwagilia hawa kipindi cha kiangazi, kupalilia kama utataka.matokeo chanya.
Mimi Nina standing order kwenye account. Kila mwisho wa mwezi automatically hela inatumwa kwenye account yake. Yani iyo hela nilishaitoa kwenye mahesabu yangu. Mwenyewe anasemaga mshahara wake, na anafurahi sana kwakweli. Na Mara ingine pia huwa namfanyia shopping ya vyakula unga mchele mafuta...
Mimi Nina standing order kwenye account. Kila mwisho wa mwezi automatically hela inatumwa kwenye account yake. Yani iyo hela nilishaitoa kwenye mahesabu yangu. Mwenyewe anasemaga mshahara wake, na anafurahi sana kwakweli. Na Mara my engine pia huwa namfanyia shopping ya vyakula unga mchele...
Mimi Nina standing order kwenye account. Kila mwisho wa mwezi automatically hela inatumwa kwenye account yake. Yani iyo hela nilishaitoa kwenye mahesabu yangu. Mwenyewe anasemaga mshahara wake, na anafurahi sana kwakweli. Na Mara my engine pia huwa namfanyia shopping ya vyakula unga mchele...
Mama yangu alistaafu, kiinua mgongo akatumia kujenga nyumba za kupangisha 3. Nyumba ni 2 bedrooms kitchen na sebule. Bahati kiwanja alkuwa nacho tayari na eneo ni zuri karibu na barabara. Hela iliyobaki akanunua gari ya kutembelea, nyingine akaanzisha mradi was kuku wa mayai (alikuwa na uzoefu)...
Kwakweli panavutia sana. Especially serikali ikiweka na miundo mbinu kwenye mitaa patavutia zaidi. Kinachomis maeneo hayo ni water taxis kama zile za Venice
hivi why Wajerumani hawakubaki hapa Bongo? maana kama sikosei ni TZ na Namibia ndio zilitawaliwa na Wajerumani ktk bara la shithole. was it na Cameroon???
Duh, huu uzi sijui ulinipita vipi. kwakweli haya ndio mambo tunataka kusikia. kwakweli serikali ya Lindi kama kweli watafanikiwa katika hili ntawapa hongera sana. yaani Tz tukiamua kulima kwa kisasa na akili kubwa hakika tutatoka. Infact inabidi tufanye in such a way wanunuzi wa dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.