Ndupu zangu tusidanganyane, hakuna PhD inayotolewa bila kuandika andiko (dissertation). Wanaopata doctorate za heshima hawahesabiwi kama wana PhD. Kwa maana hiyo Kikwete kwa mfano hana PhD. Hivyo tofautisheni mtu kuwa na PhD na kupewa u daktari wa heshima. Hivi ni vitu viwili tofauti.
Mpendwa rudia kusoma. Tamko sio la kanisa moja. Ingawa limesomwa na Askofu wa KKKT, tamko hilo limeandaliwa na viongozi wa makanisa yote ya Kikristo nchini (RC likiwemo). Askofu Shao alisomo kwa niaba yao tu. Ubarikiwe!
Zamani nilipokuwa shule nilifundishwa kuwa ukibishana na mjinga watu hawataweza kutambua mjinga ni yupi. Kwa ajili hiyo nimeamua kukaa kimya ili wana JF watambue kwa urahisi mjinga ni yupi.
Eeeeee Mungu wa Mbinguni. Tunaomba kwamba uwape watu wako wa Tanzania busara na hekima ili wapige kura ya kuleta mabadiliko katika nchi. Tuwezeshe kuiondoa nchi hii kutoka mikononi mwa mafisadi na kuirudisha mikononi mwa mwananchi wenye nchi. Eee Mungu tuondoe MIsri Utumwani utuingize Kanaani...
Ndugu yangu umesema sawa, maana hata Kawawa alitoka mikoa ya Kaskazini na hakuwa wa dini ya Kiislamu. Ndiyo maana hakusaidia maendeleo ya mikoa ya Kusini. Pili, maendeleo yaliyoletwa na serikali ya awamu ya pili yaliharibiwa na na rais wa awamu ya tatu ambaye pamoja na kuwa alikuwa anatokea...
Hahahaaaaaaa!!! Kichuguu, hata Luteni Kanali ana mwili kama binadamu wengine. Kwa maana hiyo naye anaogopa kifo. Isitoshe tunajua JK tayari ni legelege. Kuangukaanguka kwake ni uthibitisho wa ulegelege wake. Luteni Kanali gani anaangukaangauka hovyo kama yeye? Hilo moja. La pili ni hili.
Wewe...
Mzozaji,
Umenifaa mno yaani. Asante sana. Leo nitapata usingizi mzuri na wa amani kwa kuwa sina shaka kwamba Mungu amesikia kilio cha Watanzania na kuwaletea mkumbozi Dr Slaa. Octoba 31 nikiamka tu nitakwenda kituoni kupiga kura kumthibitisha Dr. Slaa kuwa rais wa wa 5 wa Jamhuri ya Muungano...
Vitabu vyote vya dini, Kuran na Biblia vinamtaja Musa kama Nabii wa Mungu. Kwa hiyo Musa ni wa wote. Kutaja jina hilo hakubagui mtu wa dini yoyote kati ya Uislamu na Ukristo.
Lowasa hata kama ana nguvu kumshinda shetani, lakini hana nguvu ya kumshinda Mungu ambaye anajidhihirisha katika nguvu ya wapiga kura waliochoka kuonewa, kupuuzwa na kunyonywa.
Mbunge wa CCM akifukuzwa kwa kuwa ameungana na serikali ya Dr Slaa kutetea maslahi ya taifa, atakuwa na nafasi ya kujiunga na Chadema na kugombea tena katika jimbo lake na bila shaka wananchi watamchagua tena. CCM wakimfukuza mbunge kwa sababu kama hii wakupoteza ni wao. Na kumbuka wakati huo Dr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.