Recent content by Mtindii

  1. M

    Jinsi ya kupanga uzazi kwa kutumia njia ya asili ya kalenda

    Swali; kama nataka kupata mimba nizae mtoto wa kiume nafwataje tarehe?
  2. M

    Machali apandishiana na M/kiti kikao cha bunge mh Jenista Mhagama

    Hivi huyu mama Janet Mbene mnamjua huyu? Kichwa ya huyu mama imepinda? Tena nashangaa watu ndo wanamjua leo. hawezi kucontrol hasira zake hata kidogo. Anaweza kukuchana kwa kitu ambacho hata ukija kumuuliza yeye mwenyewe hakijui. Ila kichwani yuko fiti sana tuu na anajua kazi yake. Ingawa...
  3. M

    Waziri Makamba na kashfa ya kuchochea uasi wananchi kuchukua sheria mkononi

    Kwanza huko kushoto kwenyewe sio kwao basi tuu shida za wananchi wenzetu.
  4. M

    Uchaguzi Umeisha! Sasa ni makali ya Mgao wa Umeme KULIKONI?

    hata mimi nasema wakate tuu huo umeme, coz mwisho wa siku hata hao ndugu zao ni majirani zetu hatuwataki!!
Back
Top Bottom