Ha ha ha ha huyu jamaaa dishii limeangukaa...ha ha ha ha ha ...unaelezea historia ya marehemu auu???kwahiyo hizoo ndo seraaaa?????chizi wewee jipange kujenga hoja na sio historia kaka..we vi????
We haki kwanza sikilizaaa,tupo katika dunia ya capitalist...unataka hao watu maskini wafanywaje labda???nenda popote pale duniani classes are inevitable....sasa wewe unataka kila kitu kiwe steep???serikali inakupa kile kinachowezekana vingine kazia mwenyewee...we subiria serikali itakuletea...
Utaniambia mtaji hauna ..sasa ni iviii ...tathimini vitu vyako ulivyonavyo apo kama simu ya ghali,cheni,saa,laptop or desk top nk nk nk waacha kupoteza mdaa uzaa vyooote then fuga kuku wakisasaa brazaaaa....,cio stories nimefanikiwa kumaliza kaelim changu cha kidato cha sita mwaka...
Unalalamikaaaa mpakaa arudi masiaa...wazeeee fursaaa zipo kibaooo.....nashangaaa sana mtu anabonga mboyoyooo miiingiii ....nakushauriii kama kuna kijana graduatee yupo apa na yeyeee analalamikaa eti anasubiriii kaziii kiukweli ntamshangaaa pambana kamata fursaaaa...cio lazima uwe na mtaji wa...
SOMA MASIKITIKO YA GRADUATE ; Matokeo ya Usaili wa nafasi za kazi Uhamiaji yaliyotolewa katika magazeti Julai, 2014 yameonesha kuwa katika Idara hiyo watanzania wengine mbali ya watoto au ndugu wa wafanyakazi wa Idara hiyo hawawezi kupata ajiya ndani ya Idara hiyo ya Serikali kirahisi. Majina ya...
Mi ni mwamaume mtrfu na futi tano na nusuu...mwanamkee anaesema toluuz tuna dharauu bhasii lazima awe ni dwarfism....so hatuendaniii...... apiteee iviiiiii
Kuongoza nchii hakuhitajii degree mazeee...only utashii ndo habari ya town sasa mnaposema viongozi wengi wa chadema hawana hizo cjui degree ni mambumbuu hawataweza ongoza nchiii we utakuwa na akiliii kweliiiiiii?????nina rafiki zangu kibao wana elimu za vyuo vikuu ..nilisoma nao kidato cha nne...
Ivi zito bado yupoo katika kosiasa kumbee???nilipata habari amekua mchungaji wa kanisa la ACT...ila riziki popotee komaaa brother.....jamaa ana fani kibao..,mmbea, mchawi, mnafiki..,mwizi ,kicheche mwemye ngwexiiiiii......daaaaaah!!! Komaa brotherhood ....
Angalizo kwa vyama vyote vya siasa.,msijidanganye mnapoona wingi wa watu unafurika viwanjani na mahala popote pale mnapokuwa na mikutano yenu mkafikiri wote wanaokuwa pale ni wafuasi wenu, pili msijidanganye mnapogawa kadi zenu za vyama wote wanaounga foleni kuchukua kuwa ni wafuasi wenu.,ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.