Kama una malalamiko contacts za wawakilishi wa wafanyakazi zipo wazi na wanajulikana.
Je ulishawasilisha malalamiko kwa mwakilishi wenu na alikujibu vipi?
Unaweza ku attach barua ya majibu ya maswali yako humu ili tuisome?
Unaweza kuleta ushahidi ku support hizi tuhuma?
Pili, hakuna malalamiko yoyote yale ambayo hayashughulikiwi je uliwasiilisha malalamiko na ushahidi wapi? na ulipewa stakabadhi na nani?
Je what about makampuni kama CRJE, CITIC, ESTIM na mengineyo ambayo yanapata contracts PSPF?
Uzuri NSSF haiendeshwi kienyeji
Ina wawakilishi wa wanachama na kila linalofanyika tayari lishapata baraka za hao wawakilishi wa wanachama
anyway Daraja mwendo mdundo.
Waungwana:
Unlike mashirika mengine ya Umma na ya binafsi, sisi huku NSSF huwa hatuna makuu. Team yetu inaitwa TEAM RESULTS ORIENTED.
Tumesema Tunajenga Daraja la Kigamboni (wana kigamboni wanaliita la Daraja La Dau) ushahidi huu hapa chini:
Tumesema kuwa Kigamboni tunajenga sattelite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.