Recent content by Mozambiki

  1. M

    Kitila Mkumbo amshukuru Magufuli kwa kumteua

    Kwa kumtanguliza Mungu mbele kila utakaloitendea nchi yako litakuwa na baraka, na wewe Mungu atakubariki.
  2. M

    Naombeni msaada wa sheria

    Umesema ajali ya moto, ni muhimu hiyo ajali ikathibitishwa nini chanzo chake, pakipatikana uthibitisho huo kutoka mamlaka husika ambayo ni TANESCO ndipo unaweza kupata ushauri wa kisheria kwa urahisi.
  3. M

    Tanzania yajitoa katika mpango wa Visa ya pamoja Afrika Mashariki

    "The Fear of unknown"!. Si sawa kusema kauli hiyo, mpaka serikali inaamua kujiondoa au kukataa kuwa na visa ya pamoja, maana yake ilizingatia faida na hasara za kitendo hicho.
  4. M

    Tundu Lissu: Msajili wa Vyama uliikumbuka hii sheria kwenye Maamuzi ya CUF?

    Kusudi hiyo doctrine of estoppel ifanye kazi inabidi tujue kama je, hicho chama baada ya uteuzi wa hao viongozi wa muda msajili wa vyama alikuwa informed kwa maandishi? Kama hakuwa informed hiyo doctrine hapo haiwezi kufanya kazi, maana ingeweza kufanyakazi kwa huyo M/kiti kuwa denied nafasi...
  5. M

    Magdalena Sakaya, Prof. Lipumba atakupoteza

    Kwenye Siasa huwa wanasema hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu, sijui huwa wana maana gani?
  6. M

    Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

    Ni sahihi, kwani nafasi walizonazo waliziomba kwa kutumia vyeti vya sekondari?
  7. M

    Mahakama ya mafisadi kuanza leo

    Mahakama si jengo, Mahakama ni "Jurisdiction", hakuna uhusiano wowote kati ya jengo na Mahakama, inawezekana kabisa kesi ikasikilizwa chini ya mti na uamuzi ukafikiwa.
  8. M

    NIDA yapata tuzo ya vitambulisho bora vya Uraia Afrika

    Shida ni gharama iliyotumika na matokeo yake, ulinganifu haupo ! Hapo ndiyo penye tatizo . Andishi si tatizo wala tuzo si tatizo.
  9. M

    Tundu Lissu apanga kulitikisa Bunge na Taifa

    Kulitikisa Bunge !, sawa ni maneno pengine ya kutia chumvi na mvuto kwa mleta mada, ni jambo jema kama atakuja na hoja za kujenga nchi kwa kuzingatia masilahi mapana na siyo kuhanikizwa na mihemko ya kisiasa. Taaluma yake ni muhimu sana katika chombo chetu hiki cha kutunga sheria, lakini kwa...
  10. M

    Vigogo wajisalimisha kwa Rais Magufuli. Ni wa makampuni yaliyochota Sh bil 300 za CIS

    Walipe stahiki za Serikali vijana wetu wasome mpaka vyuo vikuu bure, Vyumba vya madarasa viboreshwe, Maabara ziboreshwe, huduma za Afya zipatikane kwa wepesi, pia motisha kwa watumishi wa Umma ipatikane kusudi wapate "kick" ya morali wa kazi. Lakini pia ili tabia hiyo isijirudie, ni vizuri...
  11. M

    Mwalimu aliyewachangisha wanafunzi wa Sekondari Igunga kinyume na utaratibu

    Kashangisha ina maana yeye katazo la michango Shuleni hakulipata? Au imekuwaje?
  12. M

    Magufuli hakupunguza ukubwa wa Serikali, ameongeza

    Umeandika na kuchambua bila shaka kwa uzoefu wako juu ya muundo wa Wizara, hata hivyo umesema tu haiwezekani Katibu Mkuu asiwe na Mkurugenzi mathalani wa mambo ya uvuvi ambaye atakuwa pia mtaalam katika mambo ya uvuvi, jambo moja mimi sijakuelewa, ni kwa nini haiwezekani? Kwani kama Katibu Mkuu...
  13. M

    Kuanzia Januari 2016 wasanii kulipwa na Redio na Televisheni zitakazotumia nyimbo zao

    Sahihi kabisa, wasanii wengi maisha yao mwishowe huwa masikini kabisa.
Back
Top Bottom