Basi wote wana akili. Walikula ujana vizuri, wakati ulipofika wakatulia. Sio wengine wanakimbilia ndoa halafu wanaanza kupiga gemu za nje wakiwa ndani ya ndoa.
Hapana. Jirani hana hiyana katika hili. Hawa watakuwa wametumwa na mabeberu wa magharibi. Mwenye majina ya hayo mashirika yaliyofungua kesi atuletee tuyachunguze tujue wametumwa na nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.