Ndio maana mimi nilisema kuwa waliompa hiko cheo, hawajampa kwa kumpenda, bali ni mtego kwake ili ajikaange kwa mafuta yake mwenyewe. Bahati mbaya kaanza mapema kabisa kujikaanga.
Utawala wa demokrasia unapaswa kuzingatiwa na kuheshimiwa, bila kujali ni kanisani, msikitini, serikalini au chama cha siasa. Sote tuheshimu demokrasia.
TEC Ni chombo kinachohusika na masuala yote:
1. Kidini - kiroho
2. Kisiasa- kimwili
Hivyo basi, ni chombo cha kidini na kisiasa. Ndio maana wanaongoza kanisa na serikali kwa pamoja.
Sio jambo jema wakurugenzi ambao ni sehemu ya serikali kusimamia uchaguzi kati ya vyama vya upinzani na ccm- chama tawala(serikali), halafu msimamizi- mkurugenzi wa Halmashauri aliyeteuliwa na Rais wa Ccm- na anayelipwa na serikali ya Ccm-.
Hapo ni sawa sawa kwamba mko na mechi kati ya timu A...
-Chawa ni uchafu unaotakiwa kutupwa dastbin.
-Chawa ni wadudu ambao hukaa kwenye mavazi yasiyofuliwa kwa muda mrefu
-Chawa hukaa kwenye miili isiyooga kwa muda mrefu
-Chawa hukaa kwenye nywele zisizosafishwa na kutunzwa kwa muda mrefu
-Chawa hunyonya damu ya mtu bila kufanya kazi
Chawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.