Recent content by Mkara-tu

  1. M

    VoA: Lissu aomba Rais Magufuli kufanya maridhiano na wapinzani wake

    Mbona kama hata mwezi haujaisha tangu kufanyika kwa uchaguzi ambapo tuliambiwa huko chako kuna mtu kajijengea airport yake na mama yake, ameua watu wa kwao na kuwatumbukiza majini, ni dikiteta, ni mshamba, hajui kuandika hata sentensi moja ya kiingereza iliyo sahihi, elimu yake ina mashaka...
  2. M

    Viti Maalum, CCM - Orodha ya watu 94

    Baada ya miaka 5 Final benefits kwa wabunge wa viti maalumu TU wa CCM: 94×200,000,00=18,800,000,000!! Kwa hesabu za chini. Kama siyo nchi nzima inaonekana tuna mapungufu ya kufikiri, sijui ni nini. Ni Mungu tu atusamehe.
  3. M

    Viti Maalum, CCM - Orodha ya watu 94

    No, No, No! This is tooooo muuch. Mimi nilijua vitu maalumu ni kama vile vya walemavu. Hayo makundi mengine maalumu ni yapi? Yaani wote hao wanakwenda Bungeni na kukaa kula pesa za walipa kodi! Kwa orodha hii kweli hiyo SGR, JK waterfall project, vitaisha lini? Yaani, kama kuna sababu ya watu...
  4. M

    Askofu Mwamakula: Tundu Lissu aomba hifadhi Ubalozi wa Ujerumani baada ya vitisho vya uhai wake

    Seriously, huyu mtu Lisu amecheza Game. Akina Mbowe sasa eleweni presidential bid ya Lisu kama mwakilishi wa CDM haijawahi kuwa in the interest of Chadema. Chama kulikuwa no combo tu cha kukamilisha mlengo binafsi ya mgombea. Listen, this guy kabla ya kurudi Tanzania, alihakikisha Ana wakili...
  5. M

    Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Uchaguzi huu ulikuwa wa madudu

    Tunakushangaa hujakuwepo kwenye mkutano wa viongozi wa vyama kutoa tamko la kuhamasisha maandamano nchi nzima kama mgombea rais. Au mwenzetu unaandama kivyako!
  6. M

    Uchaguzi 2020 Lissu with a failed mission to distract General Election in Tanzania

    Kuanzia sasa Lisu, Zitto, Mbowe hawana ajira ya kiserikali for the next 5 years. Lakini wanawambia watu waache ajira zap ili wakaandamane. Maandamano bila kibali ni uvunjifu wa sheria. Nani atajitokeza kwenda kuandamana na kuweka ajira matatani 0?? Tusubiri hiyo Jumatatu tuone.
  7. M

    Picha: Askofu Benson Bagonza afurahia kukutana na Tundu Lissu leo

    Wow! Sikujua kuwa ATL alifanyiwa operasheni ya kuongezea ukubwa wa mdomo wake. Sasa anaweza kuachama vizuri.
  8. M

    Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

    Ebu rudia huo usemi wa ".... za kisayansi ...." then jitazame kwenye kioo. Usishangae unajicheka wenyewe. Imagine hiyo misululu ya boda boda barabarani na bendera za CDM kuwa na hadhi ya kisayansi. Kama siyo akili ya popo sijui tukuite vipi.
  9. M

    Uchaguzi 2020 Azimio: Bunge la Marekani laisihi Serikali ya Tanzania na wahusika wote kuhakikisha Uchaguzi utakuwa Huru na wa Haki

    Haya maandiko yooote kuhusu hila za Marekani na Tanzania kutosha mara hiki mara kile, jitahidini basi kufuatilia mihemuko hii ya kisiasa ya USA na nchi nyingine. Ndo hayo hayo ya marekani na Rwanda wakati P. Kagame alipo badili katiba, yale yale ya US na Venezuela ambayo yamedumu hadi leo, yale...
  10. M

    Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

    Is that all you have kuhusu faida/hasara ya ujenzi wa daraja ya hilo?? Una akili fupi kwamba unafanya association ya ujenzi wa daraja hilo na uchungaji wa mbuzi na ng'ombe wa Magufuli? Kimsingi umebubikwa na party politics kiasi cha kubeza umuhimu wa daraja husika. Sisi wengine tusio na mihemuko...
  11. M

    Uchaguzi 2020 Kachero Mbobevu Bernard Membe atua nchini, adai ukata umepelekea kusuasua kwa Kampeni za Vyama vya Upinzani nchini

    Bw. Membe, mategemeo yako yooote ya ndoto zako za kuwa Rais wa Tanzania yalitegemea nguvu ya CCM. Ndo maana uling'ang'ania jina lako lipitishwe na kuomba rufaa za maamuzi ta NEC. Hakuna hata mwendawazimu asiyelijua hilo, kwa sababu personally hilo wewe pia unalijua. Sasa, NEC walikutosa na huna...
  12. M

    Uchaguzi 2020 Ubunge Arusha sasa upo wazi kwa Godbless Lema

    Inaitwa ndoto ya mchana. Kama wewe ni kipofu shauri yako. Lakini macho hayadanganyi. Keep on dreaming.
  13. M

    ACT Wazalendo Kunani? Membe aonekana uwanja wa ndege JKNIA, akimbia kampeni?

    We vipi??? Ya zamani gani wakati unaona ana barakoa?
  14. M

    Uchaguzi 2020 Tuikomboe Tanzania kupitia Lissu, hakuna nchi Duniani ina mifumo miwili ya lugha za kufundishia

    Kama mnajua changamoto za elimu ni pamoja na mazingira kwa nini mdanganye watanzania kwa taarifa za uongo??
Back
Top Bottom