Recent content by Mipangomingi

  1. Mipangomingi

    Serikali kupitia Waziri Mwijage wamjibu Dangote: He is not aware with the pre existing laws!

    Bro chige, thanks so much. We argued these things again and again. Walitubishia na sasa mengi yanajidhihirisha waziwazi. Lakini tuwe wapole tu. Mi naamini bado yapo mengi ya kushangaza yanakuja. To be fair, the term win-win situation in this world does exist, but hardly to find it, at least...
  2. Mipangomingi

    Uchumi wa Kikwete vs Uchumi wa Magufuli

    Fact? Ila wewe jamaa ni kimeo sana, yaani kila siku tunasoma redundancy wewe unasema fact? Hebu nitajie economic reform moja tu ambayo awamu hii imeifanya. Au Kodi ya kitambulisho cha wamachinga? Anyway, sikukaa mitaa ya Charles bridge kwa kubaatisha ndugu, naelewa sana nachokisema.
  3. Mipangomingi

    Uchumi wa Kikwete vs Uchumi wa Magufuli

    Mpaka sasa hakuna reform yoyote ambayo ameifanya, sijui nyie mnatumia vigezo gani kuamini huyu mtu anafanya economic transformation. Hebu niambieni, ni economic transformation gani aliyofanya ambayo ni prospective. Yaani mtu anayetumia 1/3 ya bajeti yake mwenyewe ndio mnaona mwana mageuzi.
  4. Mipangomingi

    SERUKAMBA: Kwa hili la mchanga wa Madini, MAGUFULI atatikisa dunia

    Itabidi Kigoma tuiangalie kwa jicho la tahadhari sana.
  5. Mipangomingi

    Uchumi wa Kikwete vs Uchumi wa Magufuli

    Nakuomba usije badili ID tu. Ubaki nayo hii hii. Kule kwetu TAWA tunachojua ni kwamba waluguru wa nyingwa huwa wabishi sana. Huenda wewe ni Kobello wa Nyingwa hivyo sishangai sana.
  6. Mipangomingi

    ACACIA: Kutokana na tofauti kubwa, kunapaswa kuwe na ukaguzi huru juu ya kiasi cha madini kilichopo

    Yep, kabisa yaani. Na mbaya zaidi zinapishana na kila kitu kinachohusiana na estimates za tume. Sadly enough.
  7. Mipangomingi

    ACACIA: Kutokana na tofauti kubwa, kunapaswa kuwe na ukaguzi huru juu ya kiasi cha madini kilichopo

    Na wewe usitake kupotosha kama lugha haipandi. Na hizo tafiti za 1977 na 1990's nazo waliiba hata zikawa na kiasi tofauti na cha kamati ya Mruma?
  8. Mipangomingi

    ACACIA: Kutokana na tofauti kubwa, kunapaswa kuwe na ukaguzi huru juu ya kiasi cha madini kilichopo

    Mbona ya IPTL mbali, waulizeni watu wa iliyokuwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuhusu samaki.
  9. Mipangomingi

    ACACIA: Kutokana na tofauti kubwa, kunapaswa kuwe na ukaguzi huru juu ya kiasi cha madini kilichopo

    Sasa hiyo reconciliation si ndio mliotakiwa muanze nayo kabla ya hii taharuki yote mlioileta au vipi?. Watu wazima mnafanyaje mambo kama hamjua jamani. Sasa mmeshaharibu biashara ya watu halafu mje na reconciliation? Taharuki mlioiweka itakuwa na maana tu ikiwa 2+2=4! Lakini kama methodology ya...
  10. Mipangomingi

    Nauliza, hivi lile sakata la kusafirisha mchanga wa dhahabu liliishia wapi!?

    Knowledge diffusion haina IPR mkuu, only technology ndio ina hayo usemayo. Mimi wala siulizi "formula" kwasababu najua hakuna formula kwenye development. Lau ukiona vipi, nitajie hao walio-develop hizo model au ni vitabu vipi hivyo (authors) maana bahati nzuri wiki hii nipo kwenye event moja...
  11. Mipangomingi

    Uchumi wa Kikwete vs Uchumi wa Magufuli

    Nionyeshe niliposema "in a year". Kweli nilisema tunaweza kuelekea Zimbabwe, na bado naamini hivyo, unless kuwe na policy changes. Is a matter of time tu. Nimesema JK alikuwa na mapungufu yake lakini siyo namna yalivyokuwa exaggerated na Mheshimiwa wetu. Mwisho wa siku nadhani unashuhudia...
  12. Mipangomingi

    Uchumi wa Kikwete vs Uchumi wa Magufuli

    Hahahahaa, haya mkuu. Mimi ahadi yangu ipo palepale, nitachoma vyeti vyangu vyote vya ujuzi LIVE kama sera tunazoenda nazo zitaleta positive impact "by choice'; unless "by products" au tufanye "total return". Ukifuatilia post zangu za wakati wa uchaguzi, mimi nilikuwa abiria muhimu sana wa...
Back
Top Bottom