Wana JF, habari ni za siku nyingi. Mradi wetu Mifugo na KILIMO sasa unataka kujipanua hadi kufikia kilimomazingira. Tutajikita katika kilimo mazao, misitu, Nyuki, samaki na usindikaji wa mazao mbalimbali yatakayozalishwa na mradi wetu. Kwenye kuweza kutusaidia kupata mhisani (Granter) atujuze...
PBC Ltd ni kampuni mpya ya ushairi wa ununuzi na biashara. Tuko Tabora manispaa. Tunatafuta wataalamu wenye uwezo katika fani ya ununuzi (Procurement) na uhasibu (Accountancy)
Sifa:
Kwa upande wa Procurement; Mtaalamu awe na uwezo wa kuichambua na kuielewa vizuri Sheria ya manunuzi ya umma ya...
Habari za siku nyingi wana JF
Nataka kupack bidhaa za chakula, hivyo basi natafuta mtaalamu wa kutengeneza stixkers ili nibandike nembo na maelezo ya vidhaa zangu kibiashara. Kana uko tayari piga sasa nivi 0764 601903
Wana JF....Habarini
Mimi nataka kuwa mkulima mzuri wa mhogo na nataka kuuza unga wa mhogo ulio mweupe kama unga wa ngano (Kivunde).....Nipeni sasa soko lake ikiwezekana na bei ya kila mahali ili tufanye biashara. Kwa sasa ninao kiasi wenye kutaka tuwasiliane Na. 0764 601903. UTAFURAHI..
Habari za siku nyingi wadau. Nina kijana mtaalamu mzuri wa kuendesha Excavetor kama unamhitaji kumpa ajira piga sasa hivi namba 0764601903 au 0784325436. Watu hawa ni nadra sana kuwapata,utakuwa umepata bahati kubwa. KARIBUNI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.