Kwanza, si kweli kwamba Lema aliongoza ubunge kwenye kata 8 kati ya 19!
- ukweli ni kwamba CHADEMA ilishinda udiwani kwenye kata 8 kati ya 19 lakini kura za ubunge Lema aliongoza kwenye kata 12 kati ya 19, ya kwanza ikiwa ni Kimandolu, kisha Elerai halafu Sombetini [ambako diwani alitoka CCM...
waasisi wa siasa za maandamano Tanzania mnapozilaani ni ili nani azienzi?
- ipi kati ya CUF & CHADEMA imepoteza roho nyingi za Watanzania kwenye maandamano?
- au wenzetu nyinyi wageni nchi hii?
lazima ya Mwigulu ikuingie kwa kuwa akili zenu zinalingana!
- kwa hivyo lile tukio la Polisi wa Afrika Kusini kumburuza mtu kwa gari lililofanya hadi leo wahusika hawapo kazini walilipanga wenyewe?
Mimi ni mmeru na napenda nikuhakikishie kuwa kwetu wanaume hawatoboi masikio; halafu, hata kwa hao wamasai unaosema, utoboaji ni tofauti na ule wa mwanamke anayetoboa ili afae hereni kama alivyotoboa mgombea huyu.
Ni kashfa isiyokwepeka!
Usipungukiwe umakini hivyo mkuu!
Kwa mfano, Lipumba aliposhinda kuwa mgombea urais ndani ya CUF, ni wapiga kura wa Tanzania waliompitisha kwa kishindo???
Tofautisha chama na taifa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.