Enyi kizazi cha wabwekaji katika mitandao ya kijamii, ni nani alikuambieni jiwe litahama kutoka mkono wa kushoto kwenda upande wa kuume pasina kuvuja jasho?
Ni maarifa gani tunahitaji tuweze kuelewa ni tunahitaji vitendo? Malipo yenu mmekwishapa, kama inavyojidhiirisha faida ya mjinga ni...
labda kama nyuzi yake iwe uzushi, lakini kama yametokea ni upuuzi na ujinga kuweka mikingamo. kuweka utaratibu namna wengine wanavyopaswa kutumia haki zao.
Uliona alichokutana nacho Tido Mhando alivyoendesha TBC kwa uweredi na taaluma yake?
"wajibu wako kuyatenda yanayompendeza aliyekupeleka, na haki yako ni kupokea mshahara na posho"
usifikirie heshima yako katika jamii bali vitu viwili "wajibu wako, na haki yako"
Kuna mambo mengi yakufundisha jamii yetu kwa ujumla ikaelimika au ikaachana na mabaya inayofanya. Lakini Ney Wamitego kuwalenga masupastaa ni kama anataka kutafuta kick kupitia majibizano.
Sababu mengine kaingilia personal life ya mtu, sio lazima demu wangu umuone mimi sijui mshamba labda lkn...
Tanzania hali uwa mbaya zaidi kwa sababu StarTV, Channel 10, Clouds TV zilikuwa zinatekeleza maagizo ya makada wa chama tawala nakuacha ITVDaima pekee kuwa sehemu pekee utamuona Hashim Rungwe Spunda, Mama Anna Mghwira, na UKAWA sana. sasa ukienda TBC ndio ungeweza amini upinzani ni MAGAIDI
Kitambulisho cha utaifa wa mtu hakuna tofauti na Tax Identificatio Number haipaswi kuisha muda huo ni uhuni, ni sawa na birth certificate hakipaswi kuwa na expire date
Ni jambo jema kama maisha yako ya kila siku hayototegemea kwa haraka pesa ya urithi uliyopatiwa, kwa sababu biashara nyingi ufa kutokana na mambo matatu;
1. aina ya bidhaa uliyochagua kutoendana na mazingira
2. aina ya biashara unayofanya haiendani na mahitaji yako ( inachukua muda mrefu...
Suala la kushughulika na majipu inahitaji ushirikiano baina ya viongozi wa serikali (rais, waziri mkuu, mawaziri) na taasisi muhimu kama takukuru, polisi na mahakama bila kusahau wanasiasa wa vyama vyote.
Lakini JPM na Majaliwa mmeonyesha ubabe kwa mambo yasiyohusu majipu mfano BUNGE LIVE, na...
Nalifahamu kwamba sio rahisi mtu kwenda hazina na kuchota pesa yote na kuacha vibubu utupu
Nalitafakari habari kwamba hazina yakaushwa, aah! labda akaunti kubakishwa na kiasi kidogo cha pesa lakini sio kuachwa utupu ghafla.
Siwezi kulisemea jambo ambalo sina uhakika nalo kwa asilimia mia moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.