Recent content by mbwigaaaa

  1. M

    Msaada wa biashara ya Asali

    Lita moja nauza shilingi Elfu kumi na nusu lita ni elfu saba
  2. M

    Msaada wa biashara ya Asali

    Habari za kazi wadau? Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa katika mkoa wa Singida, mbali na kuajiriwa nimeona kuna fursa ya kufanya biashara ya kununua asali kwa wafugaji wadogo na kuifunga katika chupa za lita moja na nusu lita, na sasa nimefikia hatua ya kukopesheka katika taasisi moja ya...
Back
Top Bottom