Subiri Wakenya na Waganda wamalizwe kuchanjwa ili tuwe na uhakika na hiyo chanjo maana picha za wanaokufa baada ya chanjo nazo zonatisha.
Tuendelee kujifukiza.
Yeye Azuie kifo?
Serikali ichukue hatua zipi zaidi wakati umetahadharishwa na wizara haijabadilisha measures pia umeambiwa tumia na dawa asilia Kama tiba mbadala? Unataka serikali ikubebe mgongoni?
Wapi alisema hakuna ugonjwa?
Halafu akisema upo au haupo ndio inaondoa ukweli na uhalisia wa huo ugonjwa? Huko kwenye matangazo daily ndio ugonjwa umeisha kwa matangazo ya Rais?
Chuki ZINGINE zihamishie shambani
Huyu jamaa ndio alihusika na mateso ya Dr. Ulimboka wakati ule, aliwekwa front page za mwanahalisi....baadae tukaambiwa Ni mkenya ati!
Ila Dr. Ulimboka ulisaliti madaktari wenzio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.