Kuhamia huko itakuwa zaidi ya ukichaa. Hujui kama hizo kero zenu kama ni mojawapo ya kichochoe cha mapenzi. Maisha bila changamoto mwisho ni ujuha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, nenda taratibu. Sijui Geita gani anayoizungumzia huyu ndugu mwananchi. Siku hizi hakuna utitiri wa ma konta....!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, ukitaka kufanikiwa ki biashara, usiwaze faida kwanza. Tengeneza ndoto kwanza halafu fijiria namna gani utafanikisha ndoto yako. Faida itakuja baada ya juhudi zako na namna unavyoendeleza ndoto yako. Hivyo kama unataka kufanikiwa, acha kufikiria faida kwanza. Acha faida ije kama matokeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.