Recent content by Marekano

  1. M

    Wezi wa mtandao wanaswa Buguruni

    Sasa namba ya siri wanaipataje? Na watarenew vipi wakati original line bado inakuwa hewani?
  2. M

    Tukio la Mlipuko wa Bomu Arusha: Inspector Daudi wa Polisi akamatwa

    Isiwe tunahamishwa kutoka ktk mjadala wa katiba mpya!!
  3. M

    Uchambuzi Yakinifu wa Kitakwimu Sakata la Rwanda na Uganda kujitoa bandari ya Dar es Salaam!

    Kaka sijaelewa hapo takwimu za uwezo halisi wa bandari hizi ;mfano Mombasa uwezo wake ni kuhudumia kontena 600,000 kwa mwaka lkn kwa sasa inahudumia kontena 903,000 . inamaana imevuka uwezo wake halisi? kama ni hivyo basi ni itakuwa na ufanisi zaidi nieleweshe...
  4. M

    'Je tutafika' Kipindi cha TV: USA wanahusika na mabomu ya Arusha

    Vyombo vya tulivyovikabithi ulinzi na usalama watu vimeshindwa kutupa majibu, tumebaki kushutumiana na kutukanana wenyewe, wawajibishwe,wanatuharibia amani yetu
  5. M

    Kiwanja sh. mil 3.8 kwa Mita 50 kwa 50 Kongowe mwisho.

    50 kwa 50 ni chini ya eka 1, eka moja ni mita 64 kwa 64
  6. M

    Swali kwa maafisa kilimo na ufugaji

    vitabu vinapatikana uchumi supermarket, ni vya kiswahili
  7. M

    Shamba Linatafutwa

    Nitafute kwa No. 0713/ 01789 /0767 251260 shamba lipo mkuranga
  8. M

    Hii sasa too much! Wakandarasi wa gesi wanakwenda Mtwara kwa ndege na kurudi kulala Dar kila siku

    na hapo ndipo inapothibitika kwamba kusini kulisahaulika.
  9. M

    Visima

    Kama 4m kilakitu (Kuchimba na pamp)
  10. M

    Pinda na umiliki wa Sumry Express

    sawa, lakini ni vitu gani ambavyo vimekuamisha hayo unayo uwambia umma?
  11. M

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    Jana nimesikia speech yake ktk mahafali ya sekondari ya Masburi,eti wananchi wasiilamu serikali endapo watoto wao wanasoma shule ambazo hazijasajiliwa kwavile serikali imetoa utaratibu wa kusajili shule.swali je jukumu la kuhakikisha taratibu na sheria zinafuatwa ni la nani? Shule inajengwa...
  12. M

    Taarifa za mikopo midogo midogo ya kibiashara!

    Nilitaka kukopa saccos ni kama million 10, nilitakiwa kudiposite 20%(2m)ambazo zitarudishwa nikimaliza mkopo, then kunaghrama za mkopo,nikajikuta kimsingi nitapata 6m,nikakimbilia access bank
  13. M

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    Na kama ktk hiyo miaka 65 nilifanya kazi mwaka mmoja tu, labda nilipokuwa na miaka 30 ndio niliweka nssf. Itabidi nisubiri miaka 35 ili nilipwe?je hiyo pesa itakuwa na thamani baada ya 35yrs?wafikirie tena, hiyo gumu banaa!
Back
Top Bottom