Mashirika hayo ya umma yanaongoza kwa udini...huku serikali ikiwa kimya....je hii ni sawa kweli? Ukiomba kazi kama jina lako sio john au magdalena hupati kazi hapo...tunaomba serikali ilifanyie kazi suala hili................
Ropoti ya CAG ...Muhongo alihalalilsha transfer of shares kwa kampuni fake ya PAP...
PCCB mchakato mzima unagubikwa na rushwa....parent ministry ikiwa ya Muhongo
mnaoleta hoja za udini ktk ripoti ya PAC mmefilisika kifikra
ripoti ya PAC ilitokana na ripoti za CAG PCCB na TRA....sasa kipi kilichopindishwa ktk ripoti ya PAC ambacho kimo kwenye ripoti za CAG PCCB na TRA??????
Kazi ya PAC ni tofauti na ile ya kamati teule ya richmond......akina mwakyembe...
watanzania ktk ubora wetu......tunaikataa kazi yote waliyofanya PAC kwa chuki zetu binafsi....
kama ripoti ilikuwa dhaifu....wabunge wa upinzani walikatazwa kuiboresha ktk michango yao au kupitia maazimio
kama ripoti ya PAC ilikuwa dhaifu...kwann msemaji wa kambi ya upinzani aliiunga mkono...
mbona wanawake wasioimba taarabu bukoba mbeya njombe na moshi wanatom.be.ka kama kawa mjini. tena wengine wake za watu
muache bint apende apendacho
bongo fleva mbona ina taarabu...pia weusi roma n ney wa mitego wote mbona wanaimba mashair ya mipasho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.