Recent content by Manie

  1. M

    Natafuta mwanamke mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI

    Mimi ni MWANAUME mtu mzima naitwa ROBIE.Kwa heshima kubwa napenda kutafuta mwanamke awe mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi,awe aliyeamua kuishi maisha ya kulinda afya na ambae hajiusishi na tamaa za mapenzi!!umri kuanzia miaka 40 na kuendelea,mwanamke mtu mzima aliyetayari na...
  2. M

    Mwanamke mwenye maambukizi ya UKIMWI karibu

    Mwanamke mtu mzima mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI namuhitaji ili tuishi maisha ya matumaini napenda awe mtu mzima kwakuwa mimi pia ni mtu mzima naomba tuwasiliane kwa 0658 511 714. Karibu sana
  3. M

    Mke mwenye Virusi vya Ukimwi anaitajika

    Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya Virusi vya ukimwi,umri wangu ni miaka 47 tuwasiliane kwa email ifuatayo sekenemboh@gmail.com au tuma sms ktk namba 0715 33 85 27 ahsante!!
  4. M

    Natafuta mke mtu mzima mwenye maambukizi ya UKIMWI

    Tuwasiliane kwa sekenemboh@gmail.com
  5. M

    Natafuta rafiki mwanamke (kampani) wa kwenda nae katika Harusi

    Mimi ni mwanaume mtu mzima umri wangu ni miaka kati ya 45 na 50 natafuta rafiki mwanamke(kampani) nitakae kwenda nae ktk ukumbi wa Harusi Hapa Dar es salaam siku ya IJUMAA TAREHE 4/11/2015 mawasiliano ni 0718531823 karibu
  6. M

    Natafuta mwanamke kwa maisha,umri wangu ni miaka 46

    Habari zenu wanawake Mimi ni mwanaume mtu mzima nina miaka 46,kwa heshima kubwa na nina nia ya dhati kutoka moyoni na upendo wa kweli moyoni mwangu,najitokeza kutafuta mwanamke kwa maisha inapobidi kufunga nae ndoa. Sina ubaguzi wowote,kikubwa awe na upendo wa dhati na mkweli,yule mwanamke...
  7. M

    Natafuta MKE wa kufunga nae Ndoa

    Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46,ninatafuta mwanamke wa kufunga nae ndoa,sina ubaguzi wowote ule na nipo Serious juu ya suala ili,yule mwanamke aliyekuwa tayari kuingia ktk maisha ya Ndoa tafadhali tuwasiliane kwa 0718 98 97 65 au PM tafadhali.KARIBU
  8. M

    Kama umezaliwa miaka ya 90, humjui baba na mama yako ni Penina

    Namtafuta binti yangu, namkumbuka mama yake kwa jina moja tu la penina, nakumbuka nilikutana nae miaka ya tisini hivi au tisini na kitu hivi, nilimuacha na ujauzito na baadae nilipata taarifa kajifungua mtoto wa kike. Kama kuna binti, hamjui baba yake na mama yake anaitwa penina, na kazaliwa...
  9. M

    Kama umezaliwa miaka ya 90, humjui baba na mama yako ni Penina

    Namtafuta binti yangu alizaliwa miaka ya 90,mama yake namkumbuka kwa jina moja la Penina.
  10. M

    Msaada:natafuta shule ya english medium primary school(boarding) iliyoko mkoa wa njombe

    Habari zenu marafiki na ndugu zangu wa hapa jamii,nimekuja mbele yenu,naomba msaada kwa yule anaefahamu shule yoyote ya ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL AMBAYO NI BOARDING ILIYOKO KTK MKOA WA NJOMBE NINA WATOTO WANGU NAITAJI WASOME KUANZIA MWAKANI 2014,RAFIKI YOYOTE AMBAYE ATAKUWA ANAFAHAMU NAOMBA...
  11. M

    natafuta mke

    nina miaka 45 natafuta mke.
  12. M

    Natafta mchumba

    mafanikio yapo
Back
Top Bottom