Mechi ya ngao ya Jamii, itachezwa jumatano tarehe 23/08/2017 na hii ni kuonyesha ufunguzi mpya wa Ligi kuu ya Vodacom ambayo itaanza mwishoni mwa wiki.
Kila mtu anaipenda timu flani kati ya Simba SC na Yanga SC, na siku hiyo ni lazima mshindi apatikane hata kwa penati.
Nani kuibuka mbabe...
Habari wana jamvi,
Binafsi, sipendi vitendo vinavyofanywa na Wabunge wa CHADEMA, kutaka kuongea bila ya kufuata utaratibu uliowekwa kwa sasahivi.
Bahati nzuri kila Mbunge ana Jimbo lake, kwanini msikae na wananchi waliowapa dhamani na kuwasaidia kero zao? Kuliko kupoteza muda mwingi kwenye tv...
Hivi huyu Wema ana nini??
Mi nilidhani ni Gigy Money tu, ndio anadondosha watu...
Mwenyekiti ndani ya msiba na mwezi mtukufu naye hoi kwa Wema..
Halafu kidhungu kibovu.
Wanajamvi....
Binafsi nimekuwa na tabia ya kupenda kutembelea Mkoa wa Kilimanjaro hususani wilaya ya Moshi mjini. Na kwa wakati huu niko Moshi, japo mimi si mwenyeji wa Mkoa huu ila huwa napenda kuja bila kujali ni mwezi gani au wakati gani.
Ki ukweli hali ya Mji wa Moshi si nzuri kabisa, joto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.