Pamoja na ufafanuzi utakaotolewa hapa, jambo moja muhimu ni kwamba; Hizi zote ni kazi za ufalme wa giza ila kwa ngazi tofaututofauti. Na Ufalme wa Nuru hufukuza kila aina ya giza, bila kujali ngazi husika!.
Huwa unakuwa huko mara kwa mara, #Magufuli ana kama mwezi 1 tangu aapishwe,. Unataka kutuaminisha kuwa mara hii wakenya wameshamfahamu #Magufuli kwa viwango vya kuataka awe 'mtawala' wao? Kenya ipi hiyoo?!
Kweli kabisa mkuu,
'Kikwete aonekane msafi kwasababu ya Benjamin, Magufuli imara sababu ya udhaifu wa Kikwete na X ataonekana msafi sababu ya uchafu wa Magufuli'?!
Taifa gan hili???
Bdo hatujawa na viongozi
Lowassa alisema vile kwasababu yy cyo serikali, anaweza shitakiwa popote. Sasa ww ushahidi unaonesha ushiriki wa polisi dhahiri halafu ndo uwapelekee wachunguze? Na matokeo hayahojiwi popote kikatiba, unataka aupeleke wapi? Ndoo maana hawautowi. Kama mnashida sana na ushahidi anzeni uchunguzi si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.