Pole sana Kaka, nampenda huyo mkeo kwa sababu ameamua kuwa mkweli. Angeamua kula kona ungesemaje? Ungekuwa mbogo. Kaa naye mweleweshe khs uchovu ulionao/maumivu unayosikia lakini usimfanyie mgomo. Kuna njia za kumridhisha... Naamini naye ni muelewa.
Kitabu hicho hakijapigwa marufuku, kinapatikana TPH Bookshop mtaa wa Samora kwa bei ya sh. 7,000/- tu.
Wiki tatu zilizopita, nimenunua version ya Kiingereza ktk duka hilo na cha Kiswahili pia kilikuwepo.
Wahiwahi.
Re: Kitabu cha J. K. kimepigwa marufuku?Si kweli kwani mimi nimekinunua wiki tatu zilizopita pale mtaa wa Samora katika duka la TPH. Vyote viwili vilikuwepo cha kiingereza na kiswahii na bei yake ni sh. 7,000/- tu.
Waweza kupiga cm namba 0687 238 126 ili kucheki kama bado vipo.
Wahi ndugu yangu.
Mutu,
Nia ni kutaka kujikumbusha yaliyojiri mjengoni mwaka huu, hiyo 2009 ni makosa ya wachapishaji wa Hansard sbb hy statement ilitolewa mwaka huu mwanzoni.
... Baada ya matangazo hayo kuna utaratibu katika Chama cha Mapinduzi unaitwa kutangaza nia huwa unaudhi sana ikiwa wanaotangaza nia wanakusonga kwenye jimbo. Sasa na mimi nimeona ni uungwana tu ili niweze kutangaza nia ya kugombea Uspika katika Bunge lijalo. (Makofi/Kicheko)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.