Sidhani kama February ana roho ngumu kama ya bwana Kabwela. Anyway, ukisoma vizuri na kumuelewa alichoandika bwana ACT ni kwamba bwana February akubali kwamba ameharibiwa political career kwa vitendo vyake na Muitaliano na anapaswa kujipanga ki upya kwa ajili ya mbio ndefu zijazo na sio hizi...
Isaiah 44:18 ►
They know nothing, they understand nothing; their eyes are plastered over so they cannot see, and their minds closed so they cannot understand.
Hata kupiga napo kuna mwisho wake, sisi tunataka uwajibikaji wa kiongozi wa umma ambae analipwa mshahara kwa kodi za Watanzania, kama yeye ni kiongozi bora kama anavyo ji onesha siku zote apishe nafasi uchunguzi ufanyike na report zitoke na asafishwe kama atakua safi. Mbona bwana Mafuru aliachia...
Kosa la February ambae alikua naibu waziri kipindi hicho ni kwenda Family trip Dubai na huyo muitaliano kwa kudhaminiwa na kampuni ambayo inahusishwa kushinda tender serikalini (kama ikithibitishwa, kwa hiyo ni kosa ambalo bado anatuhumiwa). Ukisema kwamba hilo halijathibitishwa nitakuuliza...
Hakuna marefu yasiyo na ncha, ukweli wanao wao mioyoni mwao. Lazima tujifunze kwamba katika maisha kuna presha kubwa sana inayokuja na mafanikio na umaarufu, na sio wakati wote utakua na guaranteed happiness.
Kosa kubwa alilolifanya ni la ku engineer interview yake mwenyewe na kujitengezea maswali yake mwenyewe na kujichanganya mwenyewe kwa kujieleza dakika 10 kwa mwandishi aliyejitambulisha kiurahisi kwa jina moja bila hata kutaja chombo anachokiandikia, au sio ?
Bwana February asema ameonana na jamaa mara moja Dubai kwenye hiyo interview ambayo bila shaka imetengenezwa na vijana wake kwasababu simu imepigwa mara moja akapokea huyo mwandishi ajitambulisha kwa jina moja bila kutaja jina la chombo anachoandikia habari na kisha makamba kujieleza kwa dakika...
Nimekusoma chief, Asante. Kuna watu humu JF wanafikiri kwamba wao ndo wana authentic views na akili za kuchambua ukweli na uongo. Tujadili maada iliyoletwa bila kua na upande wowote, mbivu na mbichi.uwazi na ukweli unajengwa kwa mijadala huru.
Akaunti anayo na ni verified user, lakini kuna huyo mtu anataka kutuaminisha kwamba yeye ndo anatumia akili zaidi kuchambua kwamba voice notes sio za kweli.
Mkuu , kinachokufanya useme kwamba huu ni uongo kutoka kwa dada Kimambi ni nini? Ni kwamba kwasababu unawafahamu January na Mwamvita vizuri au ni kwasababu dada Kimambi amewahi wadharirisha wengine huku kwenye mitandao ? Kwanini usiache nafasi ya January na dada yake watoke kupinga kwamba sio...
Hello JF doctor,
Pengine kuna thread kama hii lakini ningependa kuomba msaada kwa mwenye uzoefu wa dawa inayoweza kutibu permanently vipele hivi. Wengine wanasema ni barber rashes, lakini mimi kwa zaidi ya miaka 3 sasa natumia mashine yangu binafsi nikienda kwa kinyozi. Nimejaribu kutumia mafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.