Wakuu,
Katika Taarifa yake ya Muda Mfupi uliopita Mwanadiplomasia Mkongwe na anayeheshimika Nje na Ndani ya Nchi,Mzee Juma Mwapachu ametangaza kujivua rasmi uanachama wa CCM.
Amesema anajivua ikiwa ni siku moja kabla yakuadhimisha kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,Amesema atarejesha...
Wamemdhulumu nani kila mtu atakula urefu wa kamba yake,
Kuna Mijitu imekwapua EPA,TANGOLD,MEREMETA,KIWIRA,NBC,RADA,ESCROWA NA RICHMOND Mmekaa kimya na hata Majizi mengine yanautaka Urais na mnashangilia kama mazuzu halafu mnamshambulia Lissu kwa stahili ambyo imewekwa na mfumo mbovu wa utawala?
Muda Mfupi uliopita Ben saanane, Ameitikia wito uliomtaka kufika Makao makuu ya Jeshi la Polisi Wilayani Rombo,Ikumbukwe kuwa Ben saanane pamoja na Wanaharakati na wananchi Wa Wilaya hiyo,Wamewasilisha Barua yakuomba kibali chakufanya Maandamano ya Amani kupinga kauli za kidhalilishaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.