Hapa mtaani kwangu napoishi Kuna jirani kajenga nyumba imekwama kwenye box Bado hajaipauwa Kwa miaka miwili Sasa. Juzi mwenye nyumba kamtuma mke wake kuwaonyesha nyumba hii dada mmoja mwenye mtoto wa kizungu akiambatana na zee la kizunguu wanataka kununua hii nyumba. Yaonekana Hawa jamaa siyo...
Tunakoelekea kama huenda tukawa nchi iliyofikisika zaidi dunian kiuchumi na kifikra. Tutakuwa tunawaza Nini maana urithi na rasilimali zetu zoote tumewauzia wagen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.