Za saa hizi ndugu zangu.
Leo nilienda hospitali na kaka yangu kumsindikiza kupigwa ultrasound. Baada ya vipimo kumalizika akakutwa na jiwe kwenye kibofu cha mkojo la 0.72mm.
Amepewe cystones lakini hazimsaidii, nilikuwa naomba ushauri wa dawa ya asili au hata za dukani zinazoweza msaidia...
Mimi ni binti nina miaka 27, nimesomea mambo ya maendeleo ya jamii (community development). Nina diploma ya community development.
Naomba mwenye kuweza kunisaidia kupata hata sehemu ya kujitolea.
Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.