hakuna kamisheni polisi.polisi tayari ni serikali kamili.jeshi sio serikali lina kamishen kwa ajili ya utii kwa rais.wanaowajibika kwa rais moja kwa moja ni Kuanzia SACP polisi na Brigedia General JWTZ. be informed
maaana ya service bado ni jeshi .
JKT- National service
jeshi la maji-Naval service
Special Air Service- kikosi maalum cha jeshi la anga UK
nakushauri usitafsiri neno service kama huduma
huu uzi ni wa ovyo sana.kila mtu ana haki ya kuchalenji na kuunga mkono lolote nchi ni ya demokrasia.spika katoa maoni yake na wala si kwamba ndo anampinga Rais.
polisi ni pure civilian na hawaondoki na vyeo kama wanajeshi(kamishened) polisi akiacha upolisi ni kama afisakata aliekuaga zaman bora mwl au dokta nabaki na udokta wake.
pia polisi ana power kubwa kuliko mwanajeshi ktk maisha ya kawaida.polisi anatoa amri na ishara zote uraian.
MP hana...
mtu yeyote anaweza kutumia silaha yeyote.katika mafunzo(depo) kinachofundishwa ni ethics za jeshi husika uvumilivu umoja na utendaji,suala la utaalamu linakuja mbele ktk kozi za kujiendeleza utakuta specializashen kama CDO, Mizinga n.k vivyo ivyo kwa polisi magereza n.k. ndo maana majambazi wapo...
mtahangaika sana hakuna komparizon ya vyeo ktk idara mbili tofauti zenye shughuli mbili tofauti.hakuna mkubw awala mdogo kila mtu ni mkubw aakiwa kazini kwake.i.c konstebo shati tupu ana uwezo wa kumsimamisha birigedia jenero na kumuelekeza,pia PC ana uwezo wa kusimamisha msafara wowote wa...
bwana wee unadanganya watu.ingependeza ungeshusha na vifungu.suala la polisi kuingia na kusachi lipo kisheria eidha awe na warant au asiwe nayo.pia polisi anaweza kuvunja mlango wa nyumba bila wasiwasi.
ukiwekwa chini ya ulinzi huna tena uhuru ivo utasikiliz amaelekezo ya afande.
polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.