Baada ya jina lake kukatwa na vikao vya juu aliyekuwa Mgombea wa Chadema Jimbo la Mufindi Kaskazini Bwana Utamwa Asheri amejiunga na ACT mchana huu. Amechukua fomuj kwa chama hicha tayari kwa kupambana na Mh Mgimwa wa CCM. Amechukua hatua hiyo baada ya jina lake kukatwa wakati aliongoza kura za...
Wakuu mambo mengine tunawapa vichwa bure hawa, huyu polepole ni nani hadi amchukie/ampende Lowassa?
It makes no difference to me, mwache aendelee,debe tupu..
Tatizo ccm mnataka kuangalia mlikoangukia badala ya kuangalia mlikojikwaa. Hiyo meli hata kama ni kwa sababu ya hali ya hewa lakini angalieni mlolongo wa matukio ndani ya ziwa Victoria. Hakuna meli nzima,zote ni kuunga unga. Kiukweli ni kwamba ajali nyingine kubwa inasubiri tu kotokea lakini...
Hii habari huwezi kuitenganisha na siasa. MV Bukoba ,ndugu zetu wakaangamia. Imepita miaka 20 bado ccm wanatoa ahadi za uongo na hawajali. Baadhi ya wabunge walijifanya kugomea bajeti lkn wakawekwa sawa ndani ya chama. MV Victoria nayo majanga. MV Serengeti ndo hiyo,halafu eti uchague Magufuli...
Mkuu si tu Mrema alipata 27% lakini upinzani( including CUF) walipata almost 40%. Hata mwak 2010 upinzani umepata lmosot 40%. Sasa ukiongeza hiki kimbunga UKAWA itakosaje 51%?
Hii ya TBC inanikumbusha stori ya Mbuni Jangwani, kaficha kichwa chake kwenye mchanga na kuacha kiwiliwili nje. Kaona amemaliza kwamba kwa kuwa yeye hamuoni adui na adui haweiz kumuona, ni sheedah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.