Recent content by ligalu16

  1. L

    Nimestaarabika jioni sana, sasa rasmi niko mtaani

    Mkuu Shikamoo, Mimi nipo MBEYA, Naombaa tuonane. Asante
  2. L

    Huu ndio utajiri mkubwa utakaoupata kama utaamua kufanya biashara hii

    Utatoaje mawasiliano ya mtu hapa? Mtafute facebook kisha mtumie message kwa ukalimu wake atakusaidia tu. Ila miti siyo Iringa tu, hata kigoma inapandika na inakubali sana tena aina yote. Mimi nimeanza mwaka wa tatu huu nazidi kuchanja mbuga na naishi Dar, tutafutane 0767143040
  3. L

    Huu ndio utajiri mkubwa utakaoupata kama utaamua kufanya biashara hii

    Njoo twende Kigoma, msifikiri Iringa tu. Kigoma miti inakubali pia na bado ardhi bei nafuu sana. Pia soko lipo karibu-KANDA YA ZIWA YOTE WANATOA MBAO IRINGA. 0767143040
  4. L

    Huu ndio utajiri mkubwa utakaoupata kama utaamua kufanya biashara hii

    Mfuatilie huyo jamaa...i mean Meshack Maganga. By the way utajiri ni subjective, kwako utajiri una urate vipi? Kuanzia kiasi gani? au kumiliki nini ikiwa mtu ana eka hamisi za miti ikiwa kila eka min. ni Tshs. 18,000,00/- x 50 eka unapata kiasi gani.??? Wee kaa hapo wenzio wanatajirika...
  5. L

    Udhalilishaji wa RC wa Mwanza: Unapokea mshahara, unakula na mkeo halafu mimi nakufanyia kazi zako

    Kwani ilipoteka ile ya Mwanza Mkuu wa Mkoa alilaumiwa? Lugha nzuri ndio muhimu mkuu
  6. L

    Natafuta shamba kwa ajili ya ufugaji kuku

    Habari? Mimi nina mabanda ya kutosha kuku hata 8000, yapo Morogoro. Nimechemka kisima tu kuchimba maana hakuna maji ya bomba karibu. Naomba ni pm namba yako tuwasiliane if wewe au mtu mwingine yoyote aatakuwa interested kushare gharama za kisima na kisha tufuge ila akubali kwenda kwa...
  7. L

    Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Habari wadau, Mimi ni mdau wa zao la muhogo, sijasomea kilimo ila kazi yangu imenifanya nilijue hili zao kwa asilimia kubwa tu, kuanzia upandaji hadi ulaji. Nimepata wazo la kuendeleza utumiaji wa zao hili kwa hapa Dar baada ya kuona muhogo ni zao zuri na lenye bidhaa zaidi ya 100 lakini kwa...
  8. L

    Drip agriculture

    Vipi Morogoro, mnaweza kuchimba visima pia? Bei zenu je? Asante.
  9. L

    Viwanja kwa bei nafuu Morogoro

    Hakuna nilikoandika heka nimeandika eka ila nadhani ekari ndio lugha nzuri.
  10. L

    Viwanja kwa bei nafuu Morogoro

    Kiwanja cha 2m au below ni eka nzima na kwa sasa msimu wa kulima unaingia bei zitazidi kushuka pia. Ila kwa mashamba hasa kwa mifugo bei laki 3 au chini/mapatano tu na muuzaji. Kuna jamaa jirani yangu ana eka mia (milima na mabonde) kwa 40m, ni pale sangasanga/njia panda mzumbe. Mimi sio dalali...
  11. L

    Viwanja kwa bei nafuu Morogoro

    Basi unania mbaya mkuu....mimi mwenyeji maeneo hayo hata ukinitukana poa tu ila huko kuna wezi sana wa viwanja feki. kuweni makini tu jamani. Hapo mkundi/makunganya kuna hifadhi ya watu wa misitu ya taifa, ni eneo kubwa sana na wameng'oa mawe/vigingi/nguzo call whatever ili mgeni akienda...
  12. L

    Viwanja kwa bei nafuu Morogoro

    Tuwe makin jaman kuna maeneo kayataja yana utata. Kabla hujanunua hakikisha una taarifa zote mm nilitaka kuuziwa hifadhi huko
  13. L

    Natafuta soko la mahindi

    Vipi kibaigwa mkuu? Mbona nasikia bei nzuri hapo?
  14. L

    Nahitaji Generator KV 15 - 20 used from Japan au Europe

    Hapa vipi mkuu,? Bei=42mililion japo inaweza kupungua, halina switch board Unipower Generator 124 kw 155 kva 2 x 35 amp 215 timer seperate tank 276 liter Deutz diesel engine 185 hp 136 kw Made in German
  15. L

    Taja vitu vilivyokukera jana kwenye sherehe za muungano

    ...wale jamaaa kupasua matofali, pia wale wasanii hawakujielewa.....
Back
Top Bottom