Mkuu,
Nadhani Sekretarieti wanaongozwa na kanuni na Taratibu zilizowekwa ili kuboresha utendaji wao. Dhamana ya kuidhinisha matokeo ya saili imewekwa kwa bodi ya sekretarieti ambayo hukutana mara 4 kwa mwaka Kwa mujibu wa kanuni zao. Wakikutana ndio huidhinisha waombaji wa usaili na wale...
Hizi sarakasi unazozisema zipo kisheria kabisa na wala hakuna makosa. BOT lazima icontrol fedha na hutumia quantitative easing kama njia ya kuregulate mzunguko wa fedha nchini.
The man is against the ethics in banking what he is trying to expose ni legalized Theft in banking systems. It goes...
Banks tends to limit what you can take from your very own money. Sababu ni banks are not always liquid enough to pay out pesa yote wateja wake wameweka as in zenyewe pia hufanya biashara na benki nyingine na form nyingine ya assets kama MBS and the likes
Mzee anasema thats theft, leo hii...
Hiyo ni CV ya 2014 nadhani. Baada ya hapo alikuwa kamishna wa ardhi (T), katibu mkuu wizara ya ardhi kisha katibu mkuu Ikulu. Wewe unataka katibu mkuu kiongozi awe na CV ipi zaidi ya hiyo?
Huko kwenye academia umesoma machapisho yake?
Nilikuwa hapa pia..
Unakumbuka mada yoyote iliyokuwa ikimsema JK kwenye kutengeneza ajira na kutoa Ajira kwa wenye sifa? Kwa ngazi zozote zile skilled na unskilled.
Maarifa hayafiki ukingo mkuu....
Kumekuwa na versions nyingi za kipi haswa kilitokea Yerusalemu. Nikiri sijawahi kusoma juu ya version hii ya Baraba labda kwakuwa hakuwekwa kwenye limelight kama wengine, less is known about him. Though inafikirisha.
Historically the Romans never spared anyone...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.