Recent content by Kwangwa1

  1. K

    It is called ‘subterfuge’

    Inawezekana kabisa,lakini ukweli mwingine hata Kiswahili hajui vizuri kama sio hajui kabisa, kajitahidi sana na kawa mwenye bahati sana kufika hapo alipo, upande mwingine namkubali sana kwenye kusimamia miradi, kitu ambacho watanzania wengi hatuwezi,hii tu yaweza fanya nimpigie kura angalau...
  2. K

    Kimara-Kibaha highway vs Katy freeway Texas

    Unategemea nini kama Waziri alikuwa Magu
  3. K

    Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

    Nakumbuka mwaka 1995 pale Musoma Nyerere alisema angekuwa yeye ndo anapiga kura angempigia Wandwi wa NCCR,tukajua hapa CCM Chali lakini kilichokuja kutokea acha tu
  4. K

    WanaJamiiForums tumeonyesha Ubinafsi wetu kwa Pascal Mayalla, tumeshindwa kumpigania kwa kumpamba

    Ila The Boss,nakumbuka kipindi Magu anaingia madarakani ulielezea sana umuhimu wa kununua Ndege na nikaona mheshimiwa kafuata ushauri wako but ghafla nikaona unaponda tena ununuzi wa ndege,shida ilikuwa nini
  5. K

    Tetesi: Makubaliano CHADEMA/ACT Wazalendo: Membe kumsapoti Lissu kisha kuteuliwa kuwa Waziri wa Nje

    Nimecheka sana,yaani watu wakielewa maana ya ulichokisema ndo wataelewa kwa nini Sumaye alijiunga Chadema dakika za mwisho😂😂😂,kweli TUSOME KWA HATUA, KITABU CHA PILI
  6. K

    Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

    Hii ndo diplomasia yenyewe uliza uambiwe kama hujui
  7. K

    Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

    Hapana wenyewe wamekiri kulikuwa kuna shida angani hakuna aliyewakataza kutua
  8. K

    Ndege za Tanzania zapigwa marufuku kutua viwanja vya Kenya kutokana na janga la Corona

    Aliyemshauri Uhuru kamshauri ujinga,utaona nani atakayeomba msamaha kwenye hili
  9. K

    Kinyomi cha Lissu ni kitone kwenye nyomi la Lowassa 2015

    Mpaka USA na UN kweli nyie ni malofa😂😂😂
Back
Top Bottom