Mimi ninayo ya Tanu nimeweka kama kumbukumbu.Kadi ya Dr Slaa si hai kwanza hailipiwi imekufa ipo kama kumbukumbu kisheria si mwanachama na huku mtaa kadi nyingi zimekufa hazijalipia
Wananchi wa Usa river juzi walipata wakati mgumu baada ya mabomba yote ya maji kutoa maji yenye rangi ya maziwa.Wenyeviti wa vitongoji waliona hali hiyo wakachukua hatua haraka ya kwenda kwenye chanzo cha maji na wakakuta mafundi bomba wa Kiliflora ndio waliounganisha bomba la mbolea ya maua...
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa CHADEMA kata Ndugu Paulo,amesema Kamanda Malisa ameshinda kwa kishindo katika uchaguzi huo na kumuangusha mgombea wa wa CCM ndugu Tom wa kitongoji cha Llima Sioni. Pamoja na utundu uliotumika wa CCM kuongeza madiwani watatu nao wapige kula lakini juhudi zao ziligonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.