Ndugu yangu Mayalla, ni kweli lakini uchambuzi makini na huru unafanyika katika jamii iliyo huru vyombo vya habari vikiwemo. Kwa mazingira ya sasa inakuwa vigumu, iwe kwa mwandishi mwenyewe, mhariri au mmiliki wa chombo husika. Pili kuna hili la kujipendekeza, ambayo ni kansa ya Afrika. Mtu kama...
Ndugu yangu Mayalla, ni kweli lakini uchambuzi makini na huru unafanyika katika jamii iliyo huru vyombo vya habari vikiwemo. Kwa mazingira ya sasa inakuwa vigumu, iwe kwa mwandishi mwenyewe, mhariri au mmiliki wa chombo husika. Pili kuna hili la kujipendekeza, ambayo ni kansa ya Afrika. Mtu kama...
SAWA, MNAFUATA SHERIA. LAKINI NI VYEMA MKATAWALIWA NA BUSARA NA HEKIMA KWA KUONA JINSI MTAKAVYOTESA RAIA WENU. WAPELEKEENI HUDUMA NA MNAWEZA KUWAPANGA, LAKINI UAMUZI WA KUVUNJA NYUMBA 17,000 ZA RAIA SI UAMUZI WA BUSARA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.