Kaka yangu wanawake ndo walewale tu unaweza kuoa mwingine akawa mshenzi kuliko Mkeo mi nadhan msamehe mkeo mrudishe home alee watoto ila kikubwa kapime DNA na watoto wako upate uhalali wa watoto na wewe
Habari za Wana JF,
Humu ndani bila shaka wote wazima humu leo nakuja na hili la Shirika la maendeleo Dar es salaam DDC lililopo Kariakoo wengi mkisikia neno DDC mtaikumbuka Bar maarufu iliyopo Kkoo ila DDC ni shirika pia lina uongozi wake uliopo hapo Kkoo shirika hili ni la Umma lililo chini ya...
Mengi nadhan angetulia akaboresha sekta yake ya Media hii kuvamia fani za watu kujenga mabifu na viongoz wa serikali ni mbaya sana kwake kama mfanyabiashara Ipp Media na viwanda vyake vya Soda na,cha Maji ingawaje alimzulumu Mzee Swai ndg yake na akamfanyia fitna akamuua kibiashara na kumrudisha...
House of Commons
Hivi unadhani Prof Muhongo mjinga alivyosema cku ile bungen hauwezi kutenganisha Energy charge na Capacity Charge hilo halikwepeki ndo wanawake wa cku hizi hao Jombaa
Naona umeshaanza kuwa na tabia ya kusema uongo km Prof wetu wa madini ulishasemaga haujawahi kumiliki line ya tigo ktk maisha yako unatumia line ya airtel leo unatuambia ulipigiwa simu na customer care wa tigo akipenda utoe maoni yako khs mtandao wa tigo
Hahaha mkuu usitokwe na Povu hili ni swali tu nimeuliza wala haustahili kutoa matusi..hata yesu wakati anapelekwa kwa Pilato,kuna watu waliona Yesu alikuwa na makosa ya kuadhibiwa
Hivi jaman naomba kuuliza kosa la Waziri wa nishat na madini Prof Muhongo ni lipi! embu tuweke ushabiki pembeni tuulizane juu ya hili sipo kumtetea nipo ktk kutaka kujua kosa lake kubwa lipi! Na jee km ndio kosa lake hilo ktk hili la Escrow basi ata yule aliyesaini kutoka kwa zile hela pamoja na...
Nafasi hii najitokeza natafuta sugarmamy sasa hv mapenzi na vijana wenzangu sitaki maana ake kuumizana vichwa nimechoka. Nataka kutulizana na SugarMamy aliyetayari tukutane PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.